Pleasure
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 279
- 99
get serious, pesa sio kila kitu kwenye mapenzi
Kumbe hilo unalijua, then go tell your wife the truth and kiss her!
get serious, pesa sio kila kitu kwenye mapenzi
raha kweli!ndio uache wivu!
jamani kujaribu jina ni nani ndo uweke kiwango chote hicho? Halafu jina huwa linakuja kabla hata ya kukubalikutuma! Walakini..ila pole haha
Hadi raha saa nyingine maana mnahis mnaibiwa muda wote
faaaaaaaaaaaaaaaaala weeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!..c kuna kuhakikishha?????
hizi mbwembwe zingine hizi? kwani ungetuma buku isingekuletea jina?
Kama unachosema ni kweli basi ndugu ama una hela ya kuchezea au hauko makini kwenye maamuzi yako. Wewe namba hujui mwenyewe tena unahisi ni mchepuko wa wife halafu unatuma Tsh 50,000 eti kujaribisha???????