Leo tunavitangaza vivutio vya ziwa Nyasa

ibesa mau

JF-Expert Member
Sep 17, 2015
2,109
1,692
Viongozi mbalimbali wa kitaifa wapo Nyasa katika kutangaza utalii wa ziwa Nyasa . Vivutio mbalimbali vilivyopo katika ziwa hilo vitatangazwa .

Pamoja na kuvitangaza vivutio mbalimbali lakini pia tunaitangazia Dunia kwamba Ziwa Nyasa lipo Tanzania , upande wa kusini.

Vivutio ambavyo vitatangazwa ni pamoja fukwe mbalimbali, visiwa mbalimbali, jiwe kubwa lililopo katikati ya maji lenye pango kubwa chini ya maji lenye uwezo wa kuhifadhi watu zaidi ya 1000 na vivutio vingine vya utamaduni

Tamasha hilo la kutangaza utalii huo ulianza kwa kutembelea vivutio vilivyopo kuanzia kusini mwa ziwa hilo mpakani na msumbiji hadi kaskazini mwa ziwa hilo unaopakana na Ludewa.

Tunamshukuru Mh. Mbunge kwa kubuni kitu ambacho kitafungua milango ya utalii wilayani humo.
 
Mnatangaza kupitia nini sasa?? Mbona uzi wako haujakamilika??? Naomba tulia andika vema yawezekana una mazuri ya kuandika lkn unakurupuka. Tunasubiri
 
Wanajitangazia wenyewe nini?maana hatujaona wala kusikia kwenye media zaid ya pongezi kwa kituo cha serikali mawingu
 
Ziwa nyasa lina oil,na ndio mgogoro, wananchi mambo mengine wanayajua.
 
Back
Top Bottom