Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,703
- 2,204
Leo ebu tulimulike ili shirika la Tazara.
Am told kuna urasimu wa kusafirisha mizigo ya Tanzania such that behewa zaweza toka tupu toka DSM kwenda New Kapiri Mposhi more than 1000 km
Ukiuliza zafuata mizigo ya wazambia kuja DSM meanwhile wakiwa wameiacha mizigo ya Watanzania DSM ambayo ingeweza pakiwa kwenda Kapiri thus ensuring full fleet utilization.
Am told tani moja toka DSM kwenda Kapiri ni dola 4,600 while toka Kapiri kwenda DSM ni dola 2,300.Ukiuliza GM ni Mzambia na ata bwana Masoko ni wa kwao.
Naiomba wizara husika ifuatilie ilo suala huwa nakerwa watanzania kuonwa vimeo ktk kila kitu.
Ninachojua hii reli ni ushirikiano wan chi mbili na kwa manufaa ya nchi Mbili na si vinginevyo.Thus bila business ifuate misingi ya biashara sio eti mimi watz ooh mimi mzambia.Inaingia akilini kuvuta hehewa tupu 60 toka DSM kwenda Zambia tupu uku ukiwa umeiacha mizigo DSM mbaya zaidi wachoma mafuta this is more than a loss it should rather be called a sabotage.
Vile vile nasikia kupata mabehewa ya mizigo ni mpaka uhonge,why?
Mwenye info zaidi anaweza kuweka apa tuondokane na mambo ambayo yako ndani ya uwezo wetu kuyatatua
Am told kuna urasimu wa kusafirisha mizigo ya Tanzania such that behewa zaweza toka tupu toka DSM kwenda New Kapiri Mposhi more than 1000 km
Ukiuliza zafuata mizigo ya wazambia kuja DSM meanwhile wakiwa wameiacha mizigo ya Watanzania DSM ambayo ingeweza pakiwa kwenda Kapiri thus ensuring full fleet utilization.
Am told tani moja toka DSM kwenda Kapiri ni dola 4,600 while toka Kapiri kwenda DSM ni dola 2,300.Ukiuliza GM ni Mzambia na ata bwana Masoko ni wa kwao.
Naiomba wizara husika ifuatilie ilo suala huwa nakerwa watanzania kuonwa vimeo ktk kila kitu.
Ninachojua hii reli ni ushirikiano wan chi mbili na kwa manufaa ya nchi Mbili na si vinginevyo.Thus bila business ifuate misingi ya biashara sio eti mimi watz ooh mimi mzambia.Inaingia akilini kuvuta hehewa tupu 60 toka DSM kwenda Zambia tupu uku ukiwa umeiacha mizigo DSM mbaya zaidi wachoma mafuta this is more than a loss it should rather be called a sabotage.
Vile vile nasikia kupata mabehewa ya mizigo ni mpaka uhonge,why?
Mwenye info zaidi anaweza kuweka apa tuondokane na mambo ambayo yako ndani ya uwezo wetu kuyatatua