Leo tujifunze maana ya halisi ya Alama ya Mnyama kabla hatujachukua jukumu la kupata chanjo[emoji120]

Mimi imebidi nimtafute mwalimu wangu wa hisabati shule ya msingi aniambie imekaa vipi 36 ije 666 au ndo kipeo na vipeuo vipya kutoka kwa manabii uchwara
eti combination sum kama haitoshi kiswahili akatupia na kingereza akatufanyia Arithmetic progression A1+A2( A1+d) +A3 +........🤣🤣🤣
 
Alama ya mnyama ipo na ndio inakutambulisha kuwa wewe au fulani ni mfuasi wa shetani, na ndio maana ni rahisi kutambuana wao kwa wao maana utaiona hiyo alama kwenye paji la uso.

Sema nyakati hizi kwa vile sio nyakati za siku za mwisho wa dunia wengi wanaipokea kwa hila, unajua shetani yeye ni mzee wa hila, kwa vile nyakati hizi atumuoni shetani live ndio maana anatumia hila hivyo unajikuta umeipokea hiyo alama bila kujijua kuwa umepoikea ila Mungu akikuona katika ulimwengu wa kiroho anakuona unayo hiyo alama.

Mfano pale Eden kitendo Adam and Eve kufanyiwa hila na nyoka na wao kukubali kula lile tunda tayari katika ulimwengu wa kiroho walishaipokea alama ya mnyama na ndio maana walifukuzwa pale Eden.

Mfano mwingine watu wanspata alama ya mnyama kwa kuuza nafsi zao kwa shetani ili wawe matajiri au maarufu, wengine ni kwenye uchawi na ndio maana ni rahisi kwa mchawi kumtambua mchawi mwenzake.

Nyakati za mwisho wa dunia mnyama ataonekana live hatajificha tena kama hivi sasa, hivyo inatakuwa rahisi kwa wale watakaobaki kumtambua kwa urahisi tofauti na sasa, sasa kwa vile watakuwa wanamtambua watajaribu kukutaa kupokea hiyo alama ya mnyama maana wanamjua sasa, na yeye yaani mnyama atawalazimisha kwa kuwambia "chagua ufe au upokee chapa ya mnyama upone"

Sasa chanjo ya covid19 ni chapa ya mnyama? Ebu angalia mfanano huu

Kwenye covid19 "ukipata "chanjo ya covid19 hutakufa kwa corona ila usipo pata chanjo utakufa na corona"

Kwenye alama ya mnyama "chagua ufe au upokee chapa ya mnyama upone"

Kwa msio jua ni kwamba siraha ya mwisho ya shetani ni vitisho, sasa unaona kwenye corona kuna vitisho na kwenye alama ya mnyama kuna vitisho.

Sasa kote kwenye chanjo ya covid19 na kwenye alama ya mnyama wanasema upokee chanja/alama upone au usipokee chanjo/alama ufe. Waswahili wana msemo wao mwenye macho haambiwi tazama.
 
Unajichanganya mkuu. Unajikuta unaandika yale yale tuNamba, Jina na mnyama umeandika kitu kimoja tu. Maelezo meengi
Mkuu unajiita "Pythagoras" wakati hata hujui chochote kile kuhusu "Arithmetic sequence & series"!?

Kujumulisha 1 mpaka 36 huwezi?

Basi chukua tu 'formular"

Sn = n/2(A1+An)

Ambapo
S36 = jumla ya namba zote 36
n = 36
A1 = 1
A36 = 36

Ndugu, si kila uzi unakulazimu kuchangia, nyingine ambazo unajikuta huna ufahamu wa kina nazo ni vyema kupita kimya kimya kuliko ku "expose" ujinga wako hapa jukwaani. Jambo usillolijua ni kama usiku wa kiza.

Ubarikiwe sana mtumishi

Screenshot_20210808-061251.jpg
 
Ahsante Sana mkuu umejazia nyama zenye mnofu kama wa kambale ahsante sana
Amina mtumishi, nimeupemda mno uzi wako. Kwa maana ndiyo hasa unabii wenye kuhusu nyakati zetu. Ubarikiwe sana, nafikiri nyama za kambale zimeshadadia vyema hoja zako

 
Mkuu unajiita "Pythagoras" wakati hata hujui chochote kile kuhusu "Arithmetic sequence & series"!?

Kujumulisha 1 mpaka 36 huwezi?

Basi chukua tu 'formular"

Sn = n/2(A1+An)

Ambapo
S36 = jumla ya namba zote 36
n = 36
A1 = 1
A36 = 36

Ndugu, si kila uzi unakulazimu kuchangia, nyingine ambazo unajikuta huna ufahamu wa kina nazo ni vyema kupita kimya kimya kuliko ku "expose" ujinga wako hapa jukwaani. Jambo usillolijua ni kama usiku wa kiza.

Ubarikiwe sana mtumishi

View attachment 1884824
Kwahiyp Miungu 36 jumla yake ni miungu 666?😅😅
 
Alama ya mnyama ipo na ndio inakutambulisha kuwa wewe au fulani ni mfuasi wa shetani, na ndio maana ni rahisi kutambuana wao kwa wao maana utaiona hiyo alama kwenye paji la uso.

Sema nyakati hizi kwa vile sio nyakati za siku za mwisho wa dunia wengi wanaipokea kwa hila, unajua shetani yeye ni mzee wa hila, kwa vile nyakati hizi atumuoni shetani live ndio maana anatumia hila hivyo unajikuta umeipokea hiyo alama bila kujijua kuwa umepoikea ila Mungu akikuona katika ulimwengu wa kiroho anakuona unayo hiyo alama.

Mfano pale Eden kitendo Adam and Eve kufanyiwa hila na nyoka na wao kukubali kula lile tunda tayari katika ulimwengu wa kiroho walishaipokea alama ya mnyama na ndio maana walifukuzwa pale Eden.

Mfano mwingine watu wanspata alama ya mnyama kwa kuuza nafsi zao kwa shetani ili wawe matajiri au maarufu, wengine ni kwenye uchawi na ndio maana ni rahisi kwa mchawi kumtambua mchawi mwenzake.

Nyakati za mwisho wa dunia mnyama ataonekana live hatajificha tena kama hivi sasa, hivyo inatakuwa rahisi kwa wale watakaobaki kumtambua kwa urahisi tofauti na sasa, sasa kwa vile watakuwa wanamtambua watajaribu kukutaa kupokea hiyo alama ya mnyama maana wanamjua sasa, na yeye yaani mnyama atawalazimisha kwa kuwambia "chagua ufe au upokee chapa ya mnyama upone"

Sasa chanjo ya covid19 ni chapa ya mnyama? Ebu angalia mfanano huu

Kwenye covid19 "ukipata "chanjo ya covid19 hutakufa kwa corona ila usipo pata chanjo utakufa na corona"

Kwenye alama ya mnyama "chagua ufe au upokee chapa ya mnyama upone"

Kwa msio jua ni kwamba siraha ya mwisho ya shetani ni vitisho, sasa unaona kwenye corona kuna vitisho na kwenye alama ya mnyama kuna vitisho.

Sasa kote kwenye chanjo ya covid19 na kwenye alama ya mnyama wanasema upokee chanja/alama upone au usipokee chanjo/alama ufe. Waswahili wana msemo wao mwenye macho haambiwi tazama.
Mnajitisha wenyewe na story za kufikilika nakuunga unga
 
ALAMA YA MNYAMA NI NINI?
UFUNUO 13:16 "Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa masikini, walio huru kwa watumwa watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao.

UFUNUO 13:17 Tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa ana chapa Ile yaani yaani jina la mnyama Yule, au hesabu ya jina lake.

Mafungu haya mawili ya Biblia ndio mafungu kiongozi yatambulishayo uwepo wa chapa ya mnyama.

UFUNGUO:
1. Nini maana ya Mnyama?

Ukisoma DANIELI 7:23-24 Inasema Mnyama ni falme.

2. Nini maana ya chapa?
Ukisoma UFUNUO

7:1-3 " Baada ya hayo nikaona Malaika wanne wamesimama katika pembe nne za nchi wakizuia pepo nne za nchi, upepo usivume juu ya nchi, wala juu ya bahari wala juu ya mti wowote. Nikaona Malaika mwingine, akipanda kutoka mawio ya jua mwenye muhuri ya Mungu aliye hai, akawapigia kelele kwa sauti kuu wale Malaika wanne waliopewa kuidhuru nchi na bahari, akisema msiidhuru nchi wala bahari, wala mti, hata tutakapokwisha kuwatia muhuri watumwa wa Mungu wetu juu ya vipaji vya nyuso zao.

Mafungu haya ndani yake yana muhuri wa Mungu unaotiwa watu wa Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao.

Katika sura ya 7:1-3 ya Ufunuo tunaona muhuri unatiwa kwenye vipaji vya nyuso za watu wa Mungu.

Na katika Ufunuo 13 tunaona kuna chapa inayotiwa kwenye vipaji vya nyuso za watu na mkono wao wa kuume.

Kwa mujibu wa UFUNUO 7:1-3 na 13:15-17 tunaona hapa Kuna Mamlaka mbili:

1. Mamlaka ya Mungu ambayo watu wake wanatiwa muhuri katika vipaji vya nyuso zao na

2. Mamlaka ya mnyama ( falme) ambayo ili mtu anunue lazima awe ametiwa chapa katika mkono wa kuume au kwenye paji la uso.

Nini kisemwacho hapa kuhusu watu na Mamlaka?

Katika UFUNUO 7:2-3 Malaika anazuia Malaika wanne wasiizuru nchi kwa sharti la, kwanza watu wa Mungu wawe wametiwa muhuri katika nyuso zao.

Kwanini waitwe watu wa Mungu?

Wanampenda Mungu na ikiwa wanampenda Mungu basi na Mungu anawapenda au wanauhusiana na Mungu.

Kuwa na mahusiano na Mungu au Kumpenda Mungu ni nini?

SOMA KUTOKA 20:4 - 5
Mungu anatoa makatazo matatu: moja kutofanya sanamu, mbili kutozitumikia na tatu kutoziabudu na wote wafanyao sanamu, kuzitumikia na kuziabu, Mungu anawatamkia kuwa yeye ni mwenye wivu na atawaadhibu watoto wa watengenezao sanamu, kuzitumikia na kuziabu hata kizazi Cha tatu na Cha nne maana kwa kufanya hivyo wanamchukiza


Lakini KUTOKA 20:6 Mungu anasema, "nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao na kuzishika amri zangu"

Maneno hayo ya washikao amri za Mungu hupendwa na Mungu yaani wanakuwa watu wa Mungu ambao Katika UFUNUO 7:1-3 Watatiwa muhuri wa Mungu ili wasidhuriwe pia yalisemwa na Yesu katika YOHANA 15:10 Mkizishika amri zangu mtabaki katika pendo langu Kama ambavyo nami nimezishika amri za Babu yangu na kuwa katika pendo lake.
YOHANA 14:15 Pia Yesu anasema, "Mkinipenda mtazishika amri zangu".

Hivyo kwa mujibu wa Mamlaka ya Mungu, watu wa Mungu wanatambuliwa kwa utii kwake kupitia Amri zake zote kumi zipatikanazo KUTOKA 20:1-17 na MATHAYO 22:34-40 ambayo inaelezea Amri kumi za Mungu kwa makundi mawili yaani: Kumpenda Mungu kwa moyo wote inarejea Amri nne za Mungu.

Na Kumpenda Jirani yako Kama nafsi yako inarejea Amri ya Tano Hadi ya Kumi.

Kama tulivyoona UFUNUO 7:1-3
Wataowekewa muhuri wa Mungu ndio ambao hawatadhuriwa yaani walio na upendo/ Utii kwa Mungu na Mungu anawapenda maana wanashika amri zake au wana mahusiano mazuri na Mungu.

Vivyovivyo UFUNUO 71-3 Inaonesha watakaodhuriwa ni wale wasiotiwa muhuri wa Mungu. Ambao hawampendi Mungu.

Kwa Maelezo hayo tunaona watu wa dunia hii wako kambi mbili: Wa Mungu na Wasio wa Mungu yaani wa shetani.

Kama ilivyo katika UFUNUO 13:15-17 wanadamu watakuwa katika kambi mbili yaani ya mnyama ( ufalme) mwenye jina la hesabu ya kibinadamu ya 666,kama tulivyoona kwenye somo lililotangulia lenye kichwa Cha CORONI AU OBAMA CHIP NDIO 666?
Watu wa Mamlaka hii Watatiwa chapa katika mkono wao wa kuume na kwenye vipaji vya nyuso zao na hawa kwa vile ni watu wake hivyo watakuwa na ruksa ya kuuza na kununua maana wametiwa chapa.

Ila kambi ya pili, ni ya walio kinyume na mnyama( ufalme) yaani wanamtii Mungu ambao hawatatiwa chapa kwenye paji la uso na mikono yao hivyo hawataruhusiwa kuuza wala kununa kwa vile hawatii au hawampendi mnyama Bali wanamtii na Kumpenda Mungu.
Na wakiendelea na msimamo huo wa kutomtii mnyama (kumwabudu) watalazimika kuuawa SOMA UFUNUO 13:15

Tangazo litakuwa la mwisho baada ya kuwekewa vikwazo kadhaa ikiwemo kutonunua, kuuza Kama isemavyo Biblia na vingine tele ikiwemo yumkini kufutiwa ajira.

Haya yatakuwa lini?

Hiyo mada iko mbeleni na hivyo kiendeleacho duniani kuhusu watu kufutwa kazi, kuzuiwa kununua kisa hawataki kuchanjwa bado siyo alama ya mnyama.

Maana ili iwe alama ya Mnyama ni hadi itakapotangazwa rasmi na dola za dunia kuwa suala la ibada ( kuabudu) lazima iwe siku moja kwa lazima.


Chapa ya mnyama ni nini Sasa?

Siyo chapa inayotiwa au kuwekwa kwenye sehemu yoyote ya mwili, Kama filamu moja maarufu ya Hollywood ioneshavyo kuwa mnyama fulani atapita anawawekea watu chapa kwenye paji la uso wao hapana.

Pia siyo sindano inayochomwa iwe mkononi au mahali popote mwili.

Siyo mpako wa rangi wala maji, hapana.

Chapa ya mnyama ni ni?
Ni alama ya kiimani ambayo kuwa nayo kunatokana na mtu kuwa na msimamo wa utii kwa kiroho au kiimani kwa mnyama yaani Mamlaka Ile yenye jina la lenye hesabu ya kibinadamu ya 666.

Ni alama ya ukuu wa mamlaka ya ambayo kwa kuiitii ni ishara ya ukubali na upendo kwa Mamlaka iliyoianzisha.

Kama tulivyoona katika UFUNUO 7:1-3 Mungu ana muhuri wake autiao kwenye nyuso za wafuasi wake yaani washikao amri zake.

Vivyo hivyo mnyama ana muhuri ama chapa ama alama yake kwa wamtiio na Kumpenda.

Hivyo wote watakaoendela kuwa na upendo, utii kwa Mamlaka ya mnyama kwa kutii kufanya
ibada ya lazima ya siku moja iliyowekwa na Mamlaka ya mnyama, hao watakuwa na chapa ya mnyama pale itakapokuwa ni lazima kwa dunia nzima ambapo Uhuru wa dhamiri yaani mtu kuwa huru kuabudu upande autakao mwenyewe utakapoondolewa kwa watu kulazimishwa kuabudu kwa mujibu wa mnyama na dunia itakavyo.

Na sababu nzuri zitatolewa kuwa ili kuinua uchumi wa dunia itakapokuwa umeporomoshwa.

Sababu zitaboreshwa kuwa kwa Uhuru wa kila mtu kuabudu atakavyo ( siku atakayo) uchumi utaendelea kuzorota hivyo lazima ibada iwe ya siku moja.

Na hapa wenye kudai sisi hatuko tayari kuabudu kama dunia yote itakavyo bali tutaabudu kwa mujibu wa nini Neno la Mungu linasema.


Na ikifika muda huu, dunia nzima itakuwa na upande mmoja wa ibada wa lazima isipokuwa wachache ambao watabaki upande usio wa dunia bali upande wa Mungu.

Na walio upande wa Mungu watabezwa, watashitakiwa, hawataajirika, watahukumiwa vifungo magerezani, watasimamishwa mbele ya Ikulu za dunia, mbele ya mabaraza na mbele ya wasomi wa dunia ili walieleza juu ya Imani yao ambayo muda huo itaonekana ni kituko, ukaidi, msimamo mkali ( ugaidi), kujitenga na dunia, kuvulugha amani ya dunia, kutotaka kuchangama, wenye Imani Kali,
Watu watatenganishwa na familia ama jamaa zao.

Nini maana ya kutiwa chapa kwenye vipaji vya nyuso?

Ni watu kuwa wameaminishwa kwa akili zao kuwa siku ya ibada iliyowekwa na Mamlaka ya mnyama ndiyo siku halisi ya ibada, wakienenenda kinyume na siku ya ibada iliyowekwa na Mungu Muumbaji tangu Edeni: ( MWANZO 2:2-4, KUTOKA 5:4, KUTOKA 16:4, KUTOKA, 16:23-30, KUTOKA 20:8-11, LUKA 4:16, MATHAYO 28:1, UFUNUO 12:17, UFUNUO 14:12.

Mtu anaweza ajiulize maswali haya:
1. Lazima ya ibada ya siku moja ni siku gani hiyo wakati kwa Sasa dunia inazo takribani siku nyingi za ibada Ila rasmi ni tatu ambazo Ijumaa, Jumamosi Jumapili.

Jibu lake lipo kwenye Biblia kuwa Chapa ya mnyama ni ya Nani?

Ni ya mnyama Yule ambaye jina lake linahesabu ya 666.

Huyo mnyama ana sifa zipi?

SOMA DANIELI 7:23-25
1. Alibadili amri za Mungu kwa kuondoa amri ya pili ya ibada ya sanamu kwa kuzitengeneza, kuzitumikia na kuziabudu.

2. Alibadili siku ya ibada kutoka ya Saba ya Juma na kuwa ya kwanza Juma na Jambo hili lilifanyika mwaka 321BK.

Siku ya kwanza ya Juma ni ipi?
SOMA MATHAYO 28:1


3. Alibadili majira kwa kuweka siku za miungu yake na miezi ya watawala wake yenye siku 29,31 nk

4. Alibadili majira kwa kuweka siku inayoanza saa sita usiku badala ya siku kianza Jua linapozama ( SOMA MWANZ 1:2, 8,13, nknk.

5. Alifanya Vita na watakatifu na kuwashinda kwa muda wa miaka 1260 kutoka (538-1798BK)
pia SOMA UFUNUO 12:6. Mbeleni atafanya mada hii iko mbele inakuja.

6. Ana jina la makufuru ( VICARIUS FILII DEI) yaani Mwakilishi wa Mwana wa Mungu dunia yaani ana cheo Cha Roho Mtakatifu wa Mungu.

7. Anena kinyume chake aliye Juu ( Mungu) kwa kuweka ya kwakwe badala ya yaMungu.

8. Ana jina SIRI, babeli Mkuu mama wa makahaba na machukizo ya nchi ( UFUNUO 17:5) ndiye mzazi wa makanisa yote ya machafuko.

7. Amelewa damu ya watakatifu wale walio na ushuhuda wa Yesu ( UFUNUO 17:6) na UFUNUO 12:17.

8. UFUNUO 18:3 Ameunywesha ulimwengu mzima na wakuu wake mvinyo - (Mafundisho yaliyochachuliwa) wa ghadhabu ya uasherati wake - (ana waumme zaidi ya mmoja si mwaminifu kwa Kristo) badala ya Mme mmoja Kristo (WAEFESO 5:25.)

9. Wafanyabiashara wa nchi wamepata utajiri kwake ( UFUNUO 18:11

10: uwezo wake na kiti chake Cha enzi kapewa na joka ( UFUNUO 13:2)

11. Ana jeraha la mauti ambalo lilipona ( UFUNUO 13:3), Mwaka 1798 kiongozi wa Mamlaka hii alitekwa na kupelekwa gerezani na kufia huko wakati wa vita Napoleoni. Na Kisha kurudishiwa Mamlaka yake mwaka 1929 na Benito Musolini.



12. Ana nguvu kubwa za kijeshi ( UFUNUO 13:4)

14. Anawaabudisha watu Shetani ( UFUNUO 13:4)

15. Ni Mamlaka ya dunia nzima (Amepewa Mamlaka kwa watu wa lugha zote, kabila zote na nchi zote ( UFUNUO 13:7)

16. Anena makufuru ( UFUNUO 13:5),

17. Ana macho ya kuona na mdomo wa kunena DANIELI 8.

18. Mamlaka hii 2WATHESALONIKE 2:3-9 Inaiita Mpinga Kristo na ndani yake Ina mtu ambaye hujiinua nafsi yake kwa kila kiitwacho Mungu au huketi kwenye hekalu / kanisa la Mungu na kujitangaza mwenyewe kuwa ni Mungu.

Soma Vizuri mafungu tajwa katika Kitabu Cha Wathesalonike 2 Sura 2:3-9 utashangaa.

19. Dhambi yake ikifika mbinguni Mwisho wake ni kuhukumiwa na Mungu (UFUNUO 18:5, DANIELI 7:26)

MWISHO:

Baada ya kupitia makala hii, kwa uaminifu kwa kuisoma na kupitia mafungu ya Biblia bila kuweka kambi zetu za kiimani. Maana wengi huzuia ukweli usiwapate pale tu waonapo dhambi zao zikitajwa ama Dhambi za mifumo ( taasisi) yao ya kiimani ikitajwa.

Na hili limeukumbuka ulimwengu wote wa dini, wakidhani wako salama kumbe wako katika hali ya isiyo salama.

Mungu wangu awabariki sana
Mambo mengine mnajitesa bila Sababu...wewe una Miaka michache tu ya kuishi Dunian afu unahangaika na Dunia ya kufikurika!
Tenda wema,ishi na watu Vizuri.....Hiyo ndio Dini...hayo Mafumbo utayajua hukohuko!
 
Mkuu unajiita "Pythagoras" wakati hata hujui chochote kile kuhusu "Arithmetic sequence & series"!?

Kujumulisha 1 mpaka 36 huwezi?

Basi chukua tu 'formular"

Sn = n/2(A1+An)

Ambapo
S36 = jumla ya namba zote 36
n = 36
A1 = 1
A36 = 36

Ndugu, si kila uzi unakulazimu kuchangia, nyingine ambazo unajikuta huna ufahamu wa kina nazo ni vyema kupita kimya kimya kuliko ku "expose" ujinga wako hapa jukwaani. Jambo usillolijua ni kama usiku wa kiza.

Ubarikiwe sana mtumishi

View attachment 1884824
Amina mtumishi wa Mungu Bwana akubariiki Sana
 
ALAMA YA MNYAMA NI NINI?
UFUNUO 13:16 "Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa masikini, walio huru kwa watumwa watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao.

UFUNUO 13:17 Tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza isipokuwa ana chapa Ile yaani yaani jina la mnyama Yule, au hesabu ya jina lake.

Mafungu haya mawili ya Biblia ndio mafungu kiongozi yatambulishayo uwepo wa chapa ya mnyama.

UFUNGUO:
1. Nini maana ya Mnyama?

Ukisoma DANIELI 7:23-24 Inasema Mnyama ni falme.

2. Nini maana ya chapa?
Ukisoma UFUNUO

7:1-3 " Baada ya hayo nikaona Malaika wanne wamesimama katika pembe nne za nchi wakizuia pepo nne za nchi, upepo usivume juu ya nchi, wala juu ya bahari wala juu ya mti wowote. Nikaona Malaika mwingine, akipanda kutoka mawio ya jua mwenye muhuri ya Mungu aliye hai, akawapigia kelele kwa sauti kuu wale Malaika wanne waliopewa kuidhuru nchi na bahari, akisema msiidhuru nchi wala bahari, wala mti, hata tutakapokwisha kuwatia muhuri watumwa wa Mungu wetu juu ya vipaji vya nyuso zao.

Mafungu haya ndani yake yana muhuri wa Mungu unaotiwa watu wa Mungu kwenye vipaji vya nyuso zao.

Katika sura ya 7:1-3 ya Ufunuo tunaona muhuri unatiwa kwenye vipaji vya nyuso za watu wa Mungu.

Na katika Ufunuo 13 tunaona kuna chapa inayotiwa kwenye vipaji vya nyuso za watu na mkono wao wa kuume.

Kwa mujibu wa UFUNUO 7:1-3 na 13:15-17 tunaona hapa Kuna Mamlaka mbili:

1. Mamlaka ya Mungu ambayo watu wake wanatiwa muhuri katika vipaji vya nyuso zao na

2. Mamlaka ya mnyama ( falme) ambayo ili mtu anunue lazima awe ametiwa chapa katika mkono wa kuume au kwenye paji la uso.

Nini kisemwacho hapa kuhusu watu na Mamlaka?

Katika UFUNUO 7:2-3 Malaika anazuia Malaika wanne wasiizuru nchi kwa sharti la, kwanza watu wa Mungu wawe wametiwa muhuri katika nyuso zao.

Kwanini waitwe watu wa Mungu?

Wanampenda Mungu na ikiwa wanampenda Mungu basi na Mungu anawapenda au wanauhusiana na Mungu.

Kuwa na mahusiano na Mungu au Kumpenda Mungu ni nini?

SOMA KUTOKA 20:4 - 5
Mungu anatoa makatazo matatu: moja kutofanya sanamu, mbili kutozitumikia na tatu kutoziabudu na wote wafanyao sanamu, kuzitumikia na kuziabu, Mungu anawatamkia kuwa yeye ni mwenye wivu na atawaadhibu watoto wa watengenezao sanamu, kuzitumikia na kuziabu hata kizazi Cha tatu na Cha nne maana kwa kufanya hivyo wanamchukiza


Lakini KUTOKA 20:6 Mungu anasema, "nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao na kuzishika amri zangu"

Maneno hayo ya washikao amri za Mungu hupendwa na Mungu yaani wanakuwa watu wa Mungu ambao Katika UFUNUO 7:1-3 Watatiwa muhuri wa Mungu ili wasidhuriwe pia yalisemwa na Yesu katika YOHANA 15:10 Mkizishika amri zangu mtabaki katika pendo langu Kama ambavyo nami nimezishika amri za Babu yangu na kuwa katika pendo lake.
YOHANA 14:15 Pia Yesu anasema, "Mkinipenda mtazishika amri zangu".

Hivyo kwa mujibu wa Mamlaka ya Mungu, watu wa Mungu wanatambuliwa kwa utii kwake kupitia Amri zake zote kumi zipatikanazo KUTOKA 20:1-17 na MATHAYO 22:34-40 ambayo inaelezea Amri kumi za Mungu kwa makundi mawili yaani: Kumpenda Mungu kwa moyo wote inarejea Amri nne za Mungu.

Na Kumpenda Jirani yako Kama nafsi yako inarejea Amri ya Tano Hadi ya Kumi.

Kama tulivyoona UFUNUO 7:1-3
Wataowekewa muhuri wa Mungu ndio ambao hawatadhuriwa yaani walio na upendo/ Utii kwa Mungu na Mungu anawapenda maana wanashika amri zake au wana mahusiano mazuri na Mungu.

Vivyovivyo UFUNUO 71-3 Inaonesha watakaodhuriwa ni wale wasiotiwa muhuri wa Mungu. Ambao hawampendi Mungu.

Kwa Maelezo hayo tunaona watu wa dunia hii wako kambi mbili: Wa Mungu na Wasio wa Mungu yaani wa shetani.

Kama ilivyo katika UFUNUO 13:15-17 wanadamu watakuwa katika kambi mbili yaani ya mnyama ( ufalme) mwenye jina la hesabu ya kibinadamu ya 666,kama tulivyoona kwenye somo lililotangulia lenye kichwa Cha CORONI AU OBAMA CHIP NDIO 666?
Watu wa Mamlaka hii Watatiwa chapa katika mkono wao wa kuume na kwenye vipaji vya nyuso zao na hawa kwa vile ni watu wake hivyo watakuwa na ruksa ya kuuza na kununua maana wametiwa chapa.

Ila kambi ya pili, ni ya walio kinyume na mnyama( ufalme) yaani wanamtii Mungu ambao hawatatiwa chapa kwenye paji la uso na mikono yao hivyo hawataruhusiwa kuuza wala kununa kwa vile hawatii au hawampendi mnyama Bali wanamtii na Kumpenda Mungu.
Na wakiendelea na msimamo huo wa kutomtii mnyama (kumwabudu) watalazimika kuuawa SOMA UFUNUO 13:15

Tangazo litakuwa la mwisho baada ya kuwekewa vikwazo kadhaa ikiwemo kutonunua, kuuza Kama isemavyo Biblia na vingine tele ikiwemo yumkini kufutiwa ajira.

Haya yatakuwa lini?

Hiyo mada iko mbeleni na hivyo kiendeleacho duniani kuhusu watu kufutwa kazi, kuzuiwa kununua kisa hawataki kuchanjwa bado siyo alama ya mnyama.

Maana ili iwe alama ya Mnyama ni hadi itakapotangazwa rasmi na dola za dunia kuwa suala la ibada ( kuabudu) lazima iwe siku moja kwa lazima.


Chapa ya mnyama ni nini Sasa?

Siyo chapa inayotiwa au kuwekwa kwenye sehemu yoyote ya mwili, Kama filamu moja maarufu ya Hollywood ioneshavyo kuwa mnyama fulani atapita anawawekea watu chapa kwenye paji la uso wao hapana.

Pia siyo sindano inayochomwa iwe mkononi au mahali popote mwili.

Siyo mpako wa rangi wala maji, hapana.

Chapa ya mnyama ni ni?
Ni alama ya kiimani ambayo kuwa nayo kunatokana na mtu kuwa na msimamo wa utii kwa kiroho au kiimani kwa mnyama yaani Mamlaka Ile yenye jina la lenye hesabu ya kibinadamu ya 666.

Ni alama ya ukuu wa mamlaka ya ambayo kwa kuiitii ni ishara ya ukubali na upendo kwa Mamlaka iliyoianzisha.

Kama tulivyoona katika UFUNUO 7:1-3 Mungu ana muhuri wake autiao kwenye nyuso za wafuasi wake yaani washikao amri zake.

Vivyo hivyo mnyama ana muhuri ama chapa ama alama yake kwa wamtiio na Kumpenda.

Hivyo wote watakaoendela kuwa na upendo, utii kwa Mamlaka ya mnyama kwa kutii kufanya
ibada ya lazima ya siku moja iliyowekwa na Mamlaka ya mnyama, hao watakuwa na chapa ya mnyama pale itakapokuwa ni lazima kwa dunia nzima ambapo Uhuru wa dhamiri yaani mtu kuwa huru kuabudu upande autakao mwenyewe utakapoondolewa kwa watu kulazimishwa kuabudu kwa mujibu wa mnyama na dunia itakavyo.

Na sababu nzuri zitatolewa kuwa ili kuinua uchumi wa dunia itakapokuwa umeporomoshwa.

Sababu zitaboreshwa kuwa kwa Uhuru wa kila mtu kuabudu atakavyo ( siku atakayo) uchumi utaendelea kuzorota hivyo lazima ibada iwe ya siku moja.

Na hapa wenye kudai sisi hatuko tayari kuabudu kama dunia yote itakavyo bali tutaabudu kwa mujibu wa nini Neno la Mungu linasema.


Na ikifika muda huu, dunia nzima itakuwa na upande mmoja wa ibada wa lazima isipokuwa wachache ambao watabaki upande usio wa dunia bali upande wa Mungu.

Na walio upande wa Mungu watabezwa, watashitakiwa, hawataajirika, watahukumiwa vifungo magerezani, watasimamishwa mbele ya Ikulu za dunia, mbele ya mabaraza na mbele ya wasomi wa dunia ili walieleza juu ya Imani yao ambayo muda huo itaonekana ni kituko, ukaidi, msimamo mkali ( ugaidi), kujitenga na dunia, kuvulugha amani ya dunia, kutotaka kuchangama, wenye Imani Kali,
Watu watatenganishwa na familia ama jamaa zao.

Nini maana ya kutiwa chapa kwenye vipaji vya nyuso?

Ni watu kuwa wameaminishwa kwa akili zao kuwa siku ya ibada iliyowekwa na Mamlaka ya mnyama ndiyo siku halisi ya ibada, wakienenenda kinyume na siku ya ibada iliyowekwa na Mungu Muumbaji tangu Edeni: ( MWANZO 2:2-4, KUTOKA 5:4, KUTOKA 16:4, KUTOKA, 16:23-30, KUTOKA 20:8-11, LUKA 4:16, MATHAYO 28:1, UFUNUO 12:17, UFUNUO 14:12.

Mtu anaweza ajiulize maswali haya:
1. Lazima ya ibada ya siku moja ni siku gani hiyo wakati kwa Sasa dunia inazo takribani siku nyingi za ibada Ila rasmi ni tatu ambazo Ijumaa, Jumamosi Jumapili.

Jibu lake lipo kwenye Biblia kuwa Chapa ya mnyama ni ya Nani?

Ni ya mnyama Yule ambaye jina lake linahesabu ya 666.

Huyo mnyama ana sifa zipi?

SOMA DANIELI 7:23-25
1. Alibadili amri za Mungu kwa kuondoa amri ya pili ya ibada ya sanamu kwa kuzitengeneza, kuzitumikia na kuziabudu.

2. Alibadili siku ya ibada kutoka ya Saba ya Juma na kuwa ya kwanza Juma na Jambo hili lilifanyika mwaka 321BK.

Siku ya kwanza ya Juma ni ipi?
SOMA MATHAYO 28:1


3. Alibadili majira kwa kuweka siku za miungu yake na miezi ya watawala wake yenye siku 29,31 nk

4. Alibadili majira kwa kuweka siku inayoanza saa sita usiku badala ya siku kianza Jua linapozama ( SOMA MWANZ 1:2, 8,13, nknk.

5. Alifanya Vita na watakatifu na kuwashinda kwa muda wa miaka 1260 kutoka (538-1798BK)
pia SOMA UFUNUO 12:6. Mbeleni atafanya mada hii iko mbele inakuja.

6. Ana jina la makufuru ( VICARIUS FILII DEI) yaani Mwakilishi wa Mwana wa Mungu dunia yaani ana cheo Cha Roho Mtakatifu wa Mungu.

7. Anena kinyume chake aliye Juu ( Mungu) kwa kuweka ya kwakwe badala ya yaMungu.

8. Ana jina SIRI, babeli Mkuu mama wa makahaba na machukizo ya nchi ( UFUNUO 17:5) ndiye mzazi wa makanisa yote ya machafuko.

7. Amelewa damu ya watakatifu wale walio na ushuhuda wa Yesu ( UFUNUO 17:6) na UFUNUO 12:17.

8. UFUNUO 18:3 Ameunywesha ulimwengu mzima na wakuu wake mvinyo - (Mafundisho yaliyochachuliwa) wa ghadhabu ya uasherati wake - (ana waumme zaidi ya mmoja si mwaminifu kwa Kristo) badala ya Mme mmoja Kristo (WAEFESO 5:25.)

9. Wafanyabiashara wa nchi wamepata utajiri kwake ( UFUNUO 18:11

10: uwezo wake na kiti chake Cha enzi kapewa na joka ( UFUNUO 13:2)

11. Ana jeraha la mauti ambalo lilipona ( UFUNUO 13:3), Mwaka 1798 kiongozi wa Mamlaka hii alitekwa na kupelekwa gerezani na kufia huko wakati wa vita Napoleoni. Na Kisha kurudishiwa Mamlaka yake mwaka 1929 na Benito Musolini.



12. Ana nguvu kubwa za kijeshi ( UFUNUO 13:4)

14. Anawaabudisha watu Shetani ( UFUNUO 13:4)

15. Ni Mamlaka ya dunia nzima (Amepewa Mamlaka kwa watu wa lugha zote, kabila zote na nchi zote ( UFUNUO 13:7)

16. Anena makufuru ( UFUNUO 13:5),

17. Ana macho ya kuona na mdomo wa kunena DANIELI 8.

18. Mamlaka hii 2WATHESALONIKE 2:3-9 Inaiita Mpinga Kristo na ndani yake Ina mtu ambaye hujiinua nafsi yake kwa kila kiitwacho Mungu au huketi kwenye hekalu / kanisa la Mungu na kujitangaza mwenyewe kuwa ni Mungu.

Soma Vizuri mafungu tajwa katika Kitabu Cha Wathesalonike 2 Sura 2:3-9 utashangaa.

19. Dhambi yake ikifika mbinguni Mwisho wake ni kuhukumiwa na Mungu (UFUNUO 18:5, DANIELI 7:26)

MWISHO:

Baada ya kupitia makala hii, kwa uaminifu kwa kuisoma na kupitia mafungu ya Biblia bila kuweka kambi zetu za kiimani. Maana wengi huzuia ukweli usiwapate pale tu waonapo dhambi zao zikitajwa ama Dhambi za mifumo ( taasisi) yao ya kiimani ikitajwa.

Na hili limeukumbuka ulimwengu wote wa dini, wakidhani wako salama kumbe wako katika hali ya isiyo salama.

Mungu wangu awabariki sana
uzi mzuri
 
Kwahiyo wewe ndio gwiji wa kuieleww biblia hasa kifabu cha Daniel na ufunuo ??
Mimi sijawahi kuwa gwiji kwenye maandiko mrembo wangu mm nafahamu kwa kiasi Sana,hakuna gwiji kwenye maandiko mrembo jua hilo
 
Mambo mengine mnajitesa bila Sababu...wewe una Miaka michache tu ya kuishi Dunian afu unahangaika na Dunia ya kufikurika!
Tenda wema,ishi na watu Vizuri.....Hiyo ndio Dini...hayo Mafumbo utayajua hukohuko!
Tenda mema ukiwa hai ukishakufa hakuna msamaha
 
Back
Top Bottom