Leo tufanye kama tunaishi majirani nyumba za kupanga

Njoo ulichukue basi jirani mie ndio nimeingia geto mda si mrefu yani nipo hoi af wala sijauona usiku yani. Vipi usharekebisha nipate hata kitonge sizi?
nilijua tu lazima uingize mada ya ulaji😂😂.Mi sijapika labda muulize mama Amina.
 
Nikawa na binti ana mashetani, mi napiga show za ugenini kama kawa,sasa mbinu nikifika maskani namtoa mama na 10 pika msosi namuacha funga mlango na kufuli kabisa nje akija yeyote mi sipo.
Bana we siku hiyo yule binti kakasirika kuja home anaambiwa hayupo, na kufuli lipo akatoka we uko wapi niko njiani naenda home,
Ok umefika wapi? Msimbazi center.
Shuka nisubiri, binti kadrive kufika hola
E bana alivyorudi home kino si akavunja mlango kazama ndani? Mzee nna kimeo kingine, nilipigwa mawe kama mwizi siku hiyo hapo kakata mshipa mkononi aliniuma damu chapa chapa nimeweka tattoo kabisa pale.
 
Kakukazia akati yule jamaa ako mnaeshindaga pale kibanda cha kubet katoka kupewa mchezo juzi kati tu hapo

Una gundu kweli mzee
Amini kwamba Joh, yani weekend hii aikatizi lazma nikadibe kitaa cha Coco pale. Naisi nna gundu kama la million 6 hivi.

Aloo kumbe dogo Fide kashaiwekea mtambo!Kweli mtt chakori nux ila ntaishi nae yule aiko mukinga.
 
Enheee huyo huyo Fide

Tena unaambiwa alimuita ghetto kiulaini tu akapewa tunda
Jana kanipiga punch ujue, nilikuwa rum kwake mishale mikali sema dah kisicho riziki bana...roho inauma 😀 kinoma akati Fide mchimba chumvi tu mtoto wa Malinyi Ulanga kaishona mapema tu.

Njoo tucheki lile movie kama la siku ile mi ushanchanganya ujue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom