Leo tarehe 25 october CHADEMA hawaji kuisahau milele walivyobwagwa

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Mwaka jana tarehe kama hii ni siku CHADEMA wapobwagwa na CCM uchaguzi mkuu
Baadhi ya Mambo ninayokumbuka siku hiyo

1.CHADEMA usiku wa kuamkia tarehe 25 OCTOBA WALIKESHA wakisherehekea na kutarajia ushindi hewa wa Mgombea Uraisi wao.Pombe za bure zilimwagwa kwenye mabaa mengi watu wakiongelea kwa mbwembwe na wakiwa wamejaa matumaini hewa kuwa mtu wao atashinda

2.Walilaghai wanachama wao kuwa waende na peni zao eti peni za tume zinabadilisha matokeo wacha watu wanunue peni madukani .Siku hiyo ilivunja rekodi kwa mauzo ya peni ambazo baadaye baada ya matokeo kutangazwa zilitupwa majalalani kama nuksi

3.Tarehe hiyo wafanyabiashara wengi hasa wa kutokea mikoa ya Arusha,kilimanjaro na Manyara hawaji kuisahau kwani ilikuwa ndio siku ya mazishi rasmi ya pesa zao walizochanga mamilioni wakitarajia CHADEMA itashinda kuwa zingerudi .Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka pesa zao zizame hawana hamu na CHADEMA wakisikia CHADEMA inatajwa wanasikia presha inapanda
 
Na Leo tuna kumbukumbu ya majonzi ya kifo rasmi cha uchumi wetu. Hakika mwaka huu mmoja maisha ya mtanzania yamedorora kama ng'ombe anayeugua sotoka. Kuna watu kama wangekuwa wanatumika kama kitoweo tungeshawafanya supu siku nyingi kuliko kuendelea kuwafuga
 
Mwaka jana tarehe kama hii ni siku CHADEMA wapobwagwa na CCM uchaguzi mkuu
Baadhi ya Mambo ninayokumbuka siku hiyo

1.CHADEMA usiku wa kuamkia tarehe 25 OCTOBA WALIKESHA wakisherehekea na kutarajia ushindi hewa wa Mgombea Uraisi wao.Pombe za bure zilimwagwa kwenye mabaa mengi watu wakiongelea kwa mbwembwe na wakiwa wamejaa matumaini hewa kuwa mtu wao atashinda

2.Walilaghai wanachama wao kuwa waende na peni zao eti peni za tume zinabadilisha matokeo wacha watu wanunue peni madukani .Siku hiyo ilivunja rekodi kwa mauzo ya peni ambazo baadaye baada ya matokeo kutangazwa zilitupwa majalalani kama nuksi

3.Tarehe hiyo wafanyabiashara wengi hasa wa kutokea mikoa ya Arusha,kilimanjaro na Manyara hawaji kuisahau kwani ilikuwa ndio siku ya mazishi rasmi ya kwa pesa zao walizochanga mamilioni wakitarajia CHADEMA itashinda kuwa zingerudi .Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka pesa zao zizame hawana hamu na CHADEMA wakisikia CHADEMA inatajwa wanasikia presha inapanda
TUNASHUKURU WATZ KUKIKATAA HIKI CHAMA CHA KIDINI NA KIKABILA
 
Tukutane oktoba,25...walijikaanga na mafuta yao wenyewe....watanzania walichagua ukweli na kuacha wavaa fulana za 'malofa na wapumbavu katika ubora wao'
 
Katika vitu ambavyo viliniacha hoi ni hili la kalamu hadi wasomi waliingizwa mkenge eti wanunue kalamu hahahaha.
Wasomi ilikuwa kituko mtu unamkuta kanunua peni mbili anasema ukiingia chumba cha kupiga kura kunaweza kuwa na teknolojia ya kuzuia peni isiandike kwa hiyo wengine walikuwa na peni mbili hadi tatu.Kwa mara ya kwanza niliona wasomi wakiwa mazezeta
 
Mwaka jana tarehe kama hii ni siku CHADEMA wapobwagwa na CCM uchaguzi mkuu
Baadhi ya Mambo ninayokumbuka siku hiyo

1.CHADEMA usiku wa kuamkia tarehe 25 OCTOBA WALIKESHA wakisherehekea na kutarajia ushindi hewa wa Mgombea Uraisi wao.Pombe za bure zilimwagwa kwenye mabaa mengi watu wakiongelea kwa mbwembwe na wakiwa wamejaa matumaini hewa kuwa mtu wao atashinda

2.Walilaghai wanachama wao kuwa waende na peni zao eti peni za tume zinabadilisha matokeo wacha watu wanunue peni madukani .Siku hiyo ilivunja rekodi kwa mauzo ya peni ambazo baadaye baada ya matokeo kutangazwa zilitupwa majalalani kama nuksi

3.Tarehe hiyo wafanyabiashara wengi hasa wa kutokea mikoa ya Arusha,kilimanjaro na Manyara hawaji kuisahau kwani ilikuwa ndio siku ya mazishi rasmi ya kwa pesa zao walizochanga mamilioni wakitarajia CHADEMA itashinda kuwa zingerudi .Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka pesa zao zizame hawana hamu na CHADEMA wakisikia CHADEMA inatajwa wanasikia presha inapanda
Hakika waliaibika kwa kipigo! Waligawana vyeo vikaota mbawa! Mungu ni mwema sana. Katuepusha Nchi kuangukia mikononi mwa wenyewe ajenda binafsi! Asante Mungu wa Israel.
 
Mwaka jana tarehe kama hii ni siku CHADEMA wapobwagwa na CCM uchaguzi mkuu
Baadhi ya Mambo ninayokumbuka siku hiyo

1.CHADEMA usiku wa kuamkia tarehe 25 OCTOBA WALIKESHA wakisherehekea na kutarajia ushindi hewa wa Mgombea Uraisi wao.Pombe za bure zilimwagwa kwenye mabaa mengi watu wakiongelea kwa mbwembwe na wakiwa wamejaa matumaini hewa kuwa mtu wao atashinda

2.Walilaghai wanachama wao kuwa waende na peni zao eti peni za tume zinabadilisha matokeo wacha watu wanunue peni madukani .Siku hiyo ilivunja rekodi kwa mauzo ya peni ambazo baadaye baada ya matokeo kutangazwa zilitupwa majalalani kama nuksi

3.Tarehe hiyo wafanyabiashara wengi hasa wa kutokea mikoa ya Arusha,kilimanjaro na Manyara hawaji kuisahau kwani ilikuwa ndio siku ya mazishi rasmi ya kwa pesa zao walizochanga mamilioni wakitarajia CHADEMA itashinda kuwa zingerudi .Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka pesa zao zizame hawana hamu na CHADEMA wakisikia CHADEMA inatajwa wanasikia presha inapanda

Kwa taarifa yako usiku wa tarehe 24 kuamkia 25 October haikuwa siku wa kupongezana, Kwa Dar ulikuwa usiku wa Tambiko na kila Bar za wale wenzetu kulichinjwa na kumwaga damu ya Mbuzi. Kwa walioona pale Ubungo mataa kulifungwa vitambaa vya Sanda vyenye maandishi ya lugha isiyojulikana vikiwa na jina la Lowassa na jingine likiwa na majina ya wagombea wa Ubunge likiwa limewekewa Mipaka ya rangi nyekundu kuzunguka kila jina
 
Hakika waliaibika kwa kipigo! Waligawana vyeo vikaota mbawa! Mungu ni mwema sana. Katuepusha Nchi kuangukia mikononi mwa wenyewe ajenda binafsi! Asante Mungu wa Israel.
Michango pia iliendana na cheo hewa mtu alichogawiwa .Mtu akigawiwa cheo hewa atakachopewa kama ni kikubwa na mchango ulitakiwa mtu atoe mkubwa zaidi kwa ajili ya kampeni ili kushika nafasi ya hicho cheo hewa.

Wengine waliuza majumba ,wengine walikopa wakiwinda vyeo hewa vilivyoota mbawa.Leo ni siku yao ya maombolezo ya mwaka mmoja toka vyeo hewa vilipoota mbawa.
 
Ni ujinga wa hali ya juu mwanao kumpa majibu ya mtihani alafu matokeo yakitoka amefauru unaanza kushangilia kama zuzu!

Nani asiyejua kwamba Lubuva alitangaza matokeo feki? nani asiyejua kwamba kipindi cha uchaguzi alikuwa analala iku..u? nani asiyejua kwamba matokeo ya mwisho hayaendani na hesabu amabayo hata mtoto wa darasa la pili angeweza kujumlisha. Mambo mengine mnajitekenya wenyewe mnacheka.

Kama mlishinda mbona mnaogopa UKAWA wasifanye mikutano yao?

Kwa ujumla uchaguzi Tanzania ni kiini macho na mimi nimeshaamua, kama tunaendelea na mzingira haya ambayo wasimamizi wa uchaguzi watabaki kuwa ni wakurugenzi wa halmashauri (DED) ambao kwa sasa hivi wamewekwa makada wa chama, na kama wasimamiz wakuu wa uchaguzi watabaki kuwa ni wateule wa rais mimi mwaka jana ndo ulikuwa mwisho wa kupiga kura, SIWEZI KUENDELEA KUSHIRIKI MAIGIZO. I stand to be corrected.
 
Ni ujinga wa hali ya juu mwanao kumpa majibu ya mtihani alafu matokeo yakitoka amefauru unaanza kushangilia kama zuzu!

Nani asiyejua kwamba Lubuva alitangaza matokeo feki? nani asiyejua kwamba kipindi cha uchaguzi alikuwa analala iku..u? nani asiyejua kwamba matokeo ya mwisho hayaendani na hesabu amabayo hata mtoto wa darasa la pili angeweza kujumlisha. Mambo mengine mnajitekenya wenyewe mnacheka.

Kama mlishinda mbona mnaogopa UKAWA wasifanye mikutano yao?

Kwa ujumla uchaguzi Tanzania ni kiini macho na mimi nimeshaamua, kama tunaendelea na mzingira haya ambayo wasimamizi wa uchaguzi watabaki kuwa ni wakurugenzi wa halmashauri (DED) ambao kwa sasa hivi wamewekwa makada wa chama, na kama wasimamiz wakuu wa uchaguzi watabaki kuwa ni wateule wa rais mimi mwaka jana ndo ulikuwa mwisho wa kupiga kura, SIWEZI KUENDELEA KUSHIRIKI MAIGIZO. I stand to be corrected.

Lubuva alijitahidi kuwaomba wenye ushahidi wa mwatokeo feki wayapeleke kabla hajamaliza kutangaza matokeo ili alinganishe na matokeo anayoyatangaza yeye, hakuna aliyeyatoa. kurudia kuimba wimbo wa feki ni wendawazimu
 
Lubuva alijitahidi kuwaomba wenye ushahidi wa mwatokeo feki wayapeleke kabla hajamaliza kutangaza matokeo ili alinganishe na matokeo anayoyatangaza yeye, hakuna aliyeyatoa. urudia kuimba wimbo wa feki ni wendawazimu

Vuta kumbukumbu mkuu, Juma Duni walipeleka ushahidi wakarudishwa mlangoni hakuna aliyewaruhusu kuingia ndani. Tunachohitaji kwenye chaguzi zetu si kuambiwa tu kwamba haki imetendeka tunataka pia kuona kwamba haki imetendeka.
 
Vuta kumbukumbu mkuu, Juma Duni walipeleka ushahidi wakarudishwa mlangoni hakuna aliyewaruhusu kuingia ndani. Tunachohitaji kwenye chaguzi zetu si kuambiwa tu kwamba haki imetendeka tunataka pia kuona kwamba haki imetendeka.
Duni hakupeleka ushahidi alipeleka barua ukumbini kusitisha zoezi la kutangaza matokeo Kumbuka pale haikuwa ofisi ya tume. Barua inapokelewa Ofisini kwa taratibu za kiofisi sio unamtafuta mtu barabarani unamkabidhi barua. alielewa akaipekeka ikiwa haina ushahidi wowote
 
Back
Top Bottom