Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 581
- 574
Leo tarehe 02 Desemba 2021ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi nchini Ndg. Daniel Chongolo.
Chama Cha Mapinduzi katika akaunti za mitandao ya kijamii kimeandika ujumbe ufutao;
"Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinakutakia heri katika kuadhimisha kumbukumbu ya siku yako ya kuzaliwa Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Godfrey Chongolo.
Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu yenye baraka na mafanikio tele; Daima tupo pamoja nawe katika utendaji na kukiongoza Chama Cha Mapinduzi."
#HappyBirthdayChongolo
Ndg. Daniel Chongolo ni Katibu Mkuu wa kumi wa CCM tangu Chama hicho kilipozaliwa Februari 5, 1977. Alithibitishwa na Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi mnamo tarehe 30 Aprili 2021 baada ya kuteuliwa na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano Mkuu Maalum uliofanyika katika Kituo Cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.
Chama Cha Mapinduzi katika akaunti za mitandao ya kijamii kimeandika ujumbe ufutao;
"Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinakutakia heri katika kuadhimisha kumbukumbu ya siku yako ya kuzaliwa Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Godfrey Chongolo.
Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu yenye baraka na mafanikio tele; Daima tupo pamoja nawe katika utendaji na kukiongoza Chama Cha Mapinduzi."
#HappyBirthdayChongolo
Ndg. Daniel Chongolo ni Katibu Mkuu wa kumi wa CCM tangu Chama hicho kilipozaliwa Februari 5, 1977. Alithibitishwa na Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi mnamo tarehe 30 Aprili 2021 baada ya kuteuliwa na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano Mkuu Maalum uliofanyika katika Kituo Cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.