leo tar 15 october,siku muhimu sana.

sixgates

JF-Expert Member
Mar 19, 2011
3,979
1,662
wadau poleni kw harakati za maandaliz ya maandamano ya nchi nzima kupinga den la dowans,kwetu mabango tayar. .
Namshukuru MUNGU mwingi wa rehema kwa kuniacha mpaka leo siku ya kuzaliwa. .kwangu ni neema tu. .pia nawapongez wote waliozaliwa siku ya leo!
 
Kwa hiyo wewe unajitoa kwenye maandamano? Happy birthday
 
Hakuna maandamano ni porojo tupu.
.
.
.
.
.
Happy Birthday ndg.
 
...Namshukuru MUNGU mwingi wa rehema kwa kuniacha mpaka leo siku ya kuzaliwa. .kwangu ni neema tu. .pia nawapongez wote waliozaliwa siku ya leo!

Pamoja kiongozii!

Nilzaliwa siku kama ya leo pia, miaka kadhaa iliyopita. Leo pia tunasherehekea Global Handwashing Day na theme ya mwaka huu ni '' Clean Hands saves Life''
 
Yaani wew mwaka karibia unaisha ndo ukazaliwa,ulikuwa wapi kuzaliwa mwezi wa kwanza?any way just a joke mkuu,Na uishi miaka mingi,happy Bth day
 
20900.gif


Happy Birthday Mkuu...hongera kwa maandalizi ya mabango ya kupinga malipo fisadi kwa Dowans.
 
Back
Top Bottom