PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,076
- 29,811
Mkuu Mimi nimekata harufu kabisa na ladha ya chakula sasa Kwa style niendelee kushangaa Tu bila kuchukua hatua ikiwemo na kujifukiza?
Ni kweli MUNGU anatulinda lkn hii Hali imenitisha Sana hasa kutosikia harufu ya kitu chochote
Ni kweli MUNGU anatulinda lkn hii Hali imenitisha Sana hasa kutosikia harufu ya kitu chochote