Leo TANESCO mmetuweza

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,192
25,493
Muda huu,maeneo ya Ubungo,Survey na Sinza Dar es Salaam hayana umeme. Kuanzia saa kumi jioni,umeme umekatika mara tano. Leo mmetuweza.

Huko mlipo vp?
 
Hawa TANESCO kwa neno moja ni......! Mi staki kutoa hasira zangu mbichi wakereketwa nisaidieni kumalizia!
Since 0630 to 2048 and still in blackout!
 
Back
Top Bottom