Leo saa 10 jioni kunatarajiwa kuwa na game Kali Kati ya kagera sugar vs simba.simba imeshinda game 1 pekee Kati ya game 5 za mwisho waliokutana na kagera sugar na kagera kashinda game 4.
Bad news kwa Simba: watawakosa erasto nyoni,gadiel Michael na chama kwenye game ya leo.
Je Simba atatoboa Leo au ataendelea kugawa point kwa kagera sugar?
Bad news kwa Simba: watawakosa erasto nyoni,gadiel Michael na chama kwenye game ya leo.
Je Simba atatoboa Leo au ataendelea kugawa point kwa kagera sugar?