Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,375
- 14,870
wanashauri kama ulikua mlevi basi walau unywe Bia moja kwa siku.
Hapa mkuu sijakuelewa; kwani ukinywa bia moja hulewi na kama ukilewa je wewe unakuwa sio mlevi??!
wanashauri kama ulikua mlevi basi walau unywe Bia moja kwa siku.
Mimi sio mzee wasira. Japo najua joking. Hiyo ni avata tu.Mzee Wassira hii siyo ile pressure ya kukosa ubunge wa Bunda? We mze mbishi sana sijapata ona, unalilia machangu wako wa Dodoma wakati wenzako hawana mpango na wewe. Pumzika kwa amani, we ishi kwako ukijilia ugali wako na dagaa wa Ziwa Victoria, achana na machangu.
Ahsante mkuu.Pole kiongozi, badala ya kuzi-miss hizo lite, we achana nazo tu usije ukafikia hatua ya kuishi kwa kutegemea dawa!!
Mother nae alianza kuugua pressure!!
Mara ugonjwa wa moyo
Mara eh, kisukari...
Hao jamaa watatu kwa kawaida wana tabia ya kutembea pamoja!!
Hapo akaanza mwendo wa vidonge... huku vya pressure, kule moyo sijui kufanya nini, kutanabai, FIGO!!
Huku na kule, mara ini, na tunapata habari za ini ilishakuwa too late!!
Pia usisahau kuvaa barakoaNdio maana nikasema maanza life style mpya. Hata zile coca baridi za kushushia supu napumzika.
Pressure ikirudi nomal naanza tiz kabisa. Kukimbia na kuruka kamba. Mdogomdogo ntazoea.
Pia usisahau kuvaa barakoNdio maana nikasema maanza life style mpya. Hata zile coca baridi za kushushia supu napumzika.
Pressure ikirudi nomal naanza tiz kabisa. Kukimbia na kuruka kamba. Mdogomdogo ntazoea.
Mkuu HAKUNA dawa ya asili ya presha ya kupanda....Hebu mkuu zitaje hizo dawa za Asili za mitishamba. Nina hakika Utasaidia Wengi
Utawekaje tiba bure bure Mkuu?Weka hapa hapa wengi wafaidike
Ulikuwa na dalili zipi zilizokufanya mpaka uende kupima pressure? Si nilisikia ukishaanza dawa ndio hauwezi kuacha? Wanasema kwamba ukiwa na pressure au kisukari mtalimbo unakuwa dolo?
Dawa ni muhimu. Sema hujapata ile inayokufaa. Nenda kwa wataalamu wa mambo hayo na useme dawa uliyopewa na vile ilikufanya. My dad ana pressure hua anapima kila siku anarecord na anakunywa dawa asubuhi na jioni. Pressure ikawa inaenda vizuri akapunguza dozi anywe mara moja kwa siku haikuchukua hata masaa 24 akaanza kujiskia vibaya ikabid aendelee na dozi ya mara 2 kwa siku.Ahsante kwa ushauri mzuri. Niwe mwazi kabisa. Dawa nilizoanza kutumia nimesitisha. Jana na leo sijatumia, na sababu za kusitisha ni kwamba baada ya kuanza tu kutumia, ahsubuhi yake nikaanza kusikia mwili hauna nguvu. Nikajua ni kwa kuwa nilikojoa sana usiku huo.
Ahsubuhi nikaanza kunywa maji. Nilikunywa maji lita 5. Nilikojoa sana. Jioni ile hali ya mwili kukosa nguvu niliendelea kuisikia mpaka jioni ya saa 2 usiku.
Nikanyanyua simu kuongea na dr m1 ambaye ni rafiki yangu. Akanishauri nikacheck tena, labda kipimo cha mwanzo hakikuwa sahihi. Nikaenda kupima, this ilikuwa sehemu nyingine. Kupima ikasoma 180/110 imepungua 7/5.
Nikarudi home, nikanywa dawa. Kukojoa kama kawa. Ahsubuhi ile hali ya kuishiwa nguvu nikaona kama imezidi. Nikaendele kunywa maji lita 5 nyingine. Mpaka jioni nikajiona sipo sawa tofauti na kabla ya kuanza kutumia dawa.
Kwa hiyo usiku huo sikutumia tena dawa. Nikaamka kidogo nipo poa. Jana tena sijatumia, leo nimeamka mzima kabisa.
Nimeamua kuacha dawa kwa muda na sasa nabadili staili ya vyakula.
Ni mwendo wa mbogamboga, matunda, kupunguza chumvi na mazoezi.
Leo jioni nitaenda kucheck. Nitaleta mrejesho hapa.
Ahsante.
Hii ndio roho ya kichawi sasa....unataka ifike ngapi ndio aanza dawa ?Ushauri wangu pressure yako bado siyo ya kutumia dawa anza kufanya mazoezi
Dawa za miti shamba ni hatari kwa figo achaneni nazoJaribu pua dawa za asili za miti. Achana na za kununua kuna za kuelekezwa ujatumia mwenyewe. Zinaweza kukusaidia sana
Mmh... ..Dawa za miti shamba ni hatari kwa figo achaneni nazo
Kapime figo, na visa vya watu 2 walikuwa ni watumiaji wa zuri wa miti shamba kwa muda mrefu hivi ninavyoongea wote wanahudhiria dialysis 2 na 3 kwa week.Mmh... ..
Zimetulea..
Hata za mzungu nazo ni sumu pia.
Nimekuwa nasumbuliwa na pressure kwa muda sasa. Leo nimepima ilikuwa 187 juu na chini 115.
Baada ya mashauriano na dr nimeamua kuanza kutumia dawa.
Nimepewa dawa za kutumia wiki moja then nirudi kucheck tena.
Ndio kwanza nina 44 yrs. Nitazimiss sana lite, na lager.
Dawa za pressure hunywewa asubuhi. Unless iwe umefanyiwa kipimo cha kurecord saa 24 na kuonekana una tatizo wakati wa usiku. Nenda hospitali kubwa kama JKCI watakusaidiaAhsante kwa ushauri mzuri. Niwe mwazi kabisa. Dawa nilizoanza kutumia nimesitisha. Jana na leo sijatumia, na sababu za kusitisha ni kwamba baada ya kuanza tu kutumia, ahsubuhi yake nikaanza kusikia mwili hauna nguvu. Nikajua ni kwa kuwa nilikojoa sana usiku huo.
Ahsubuhi nikaanza kunywa maji. Nilikunywa maji lita 5. Nilikojoa sana. Jioni ile hali ya mwili kukosa nguvu niliendelea kuisikia mpaka jioni ya saa 2 usiku.
Nikanyanyua simu kuongea na dr m1 ambaye ni rafiki yangu. Akanishauri nikacheck tena, labda kipimo cha mwanzo hakikuwa sahihi. Nikaenda kupima, this ilikuwa sehemu nyingine. Kupima ikasoma 180/110 imepungua 7/5.
Nikarudi home, nikanywa dawa. Kukojoa kama kawa. Ahsubuhi ile hali ya kuishiwa nguvu nikaona kama imezidi. Nikaendele kunywa maji lita 5 nyingine. Mpaka jioni nikajiona sipo sawa tofauti na kabla ya kuanza kutumia dawa.
Kwa hiyo usiku huo sikutumia tena dawa. Nikaamka kidogo nipo poa. Jana tena sijatumia, leo nimeamka mzima kabisa.
Nimeamua kuacha dawa kwa muda na sasa nabadili staili ya vyakula.
Ni mwendo wa mbogamboga, matunda, kupunguza chumvi na mazoezi.
Leo jioni nitaenda kucheck. Nitaleta mrejesho hapa.
Ahsante.