Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Aman iwe nanyi wapendwa katika jukwaa
Kama kichwa cha habal kinavyo someka hapo juu
Kwa mda mrefu sasa nimekuwa team iran ayatorah lakin leo nahama rasimi nahamia team netanyau
sababu zinazofanya nihame ni maneno mengi ya iran yasiyo na vitendo,
Iran limekuwa ni taifa la mikwala na maneno mengi huku vitendo vikiwa ni zero
Kila siku anashambuliwa na israel lakin hajibu
Mara ya mwisho mwez uliopita alidai endapo kama israel itashambulia japo kwa jiwe base za iran zilizo siria bas atajibu mapigo kwa kuifuta israel kwenye uso wa dunia, cha ajabu jana kashambuliwa kwa makombola na wanajesh wake zaid ya 15 kuuwawa lakin hata hajajibu anasubir seke seke lipoe aje na mikwara yake ya hapa na pale
Ni bora niwe team sizonje, jiwe, ngosha lakin siyo team ayatorah nitaumia moyo bure
Nahama mazima team iran nahamia team israel
Nimegundua NETANYAU ni mwanaume kweli kweli maana yeye hanaga maneno ya kwenye kanga bali kwake ni vitendo tu
LONDON BOY
Kama kichwa cha habal kinavyo someka hapo juu
Kwa mda mrefu sasa nimekuwa team iran ayatorah lakin leo nahama rasimi nahamia team netanyau
sababu zinazofanya nihame ni maneno mengi ya iran yasiyo na vitendo,
Iran limekuwa ni taifa la mikwala na maneno mengi huku vitendo vikiwa ni zero
Kila siku anashambuliwa na israel lakin hajibu
Mara ya mwisho mwez uliopita alidai endapo kama israel itashambulia japo kwa jiwe base za iran zilizo siria bas atajibu mapigo kwa kuifuta israel kwenye uso wa dunia, cha ajabu jana kashambuliwa kwa makombola na wanajesh wake zaid ya 15 kuuwawa lakin hata hajajibu anasubir seke seke lipoe aje na mikwara yake ya hapa na pale
Ni bora niwe team sizonje, jiwe, ngosha lakin siyo team ayatorah nitaumia moyo bure
Nahama mazima team iran nahamia team israel
Nimegundua NETANYAU ni mwanaume kweli kweli maana yeye hanaga maneno ya kwenye kanga bali kwake ni vitendo tu
LONDON BOY