Leo Novemba 1 : 90% wameshamaliza mishahara na Advance Salary

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Leo ni Novemba Mosi , 2019. Ni siku 7 zimepita toka 'kamshahara' kutoka ( Octoba 24 ,2019)...

Kamshahara kenye ngeu za Loan Board , Kodi , Pensheni , NHIF na mkopo wako wa benki ama Platinum... Tuache ile mikopo ya mtaani na makazini midogo midogo.

Haya sasa. Bado siku 22 mshahara utoke , takribani wiki 3 kuanzia sasa. Siku si nyingi sana kama una mzigo wa chakula na una nauli ya kazini na hela ya bundle !

Tunatoboa kiume.

 
Inategemea umemaliza kwa sababu umefanyia nini! Kama umemaliza huo mshahara mdogo kwa sababu ya kuweka heshima bar na starehe nyingine; No comment.

Ila kama umemaliza kwa kulipia deni la kiwanja kwa ajili ujenzi wa makazi yako, umetumia kuwalipa mafundi wa nyimba yako, umelipia ada za watoto wako kwenye shule nzuri na bora wanazosoma, nk kwangu naona ni poa tu.
 
Watu wanafanya kazi kwa mazoea lakini kimsingi kazi haziwanufaishi ndio ile angalau na yeye aonekane ametoka asubuhi na jioni amerudi..hawana financial freedom..!
Sijasema watu wasiajiriwe lakini jiulize kuna future kwenye unachokifanya? Unaifurahia kazi unayoifanya au ndio unasogeza siku? Toka huko uliko la sivyo watoto wako watakuja kupiga mawe kaburi lako..
 
Leo ni Novemba Mosi , 2019. Ni siku 7 zimepita toka 'kamshahara' kutoka ( Octoba 24 ,2019)...

Kamshahara kenye ngeu za Loan Board , Kodi , Pensheni , NHIF na mkopo wako wa benki ama Platinum... Tuache ile mikopo ya mtaani na makazini midogo midogo.

Haya sasa. Bado siku 22 mshahara utoke , takribani wiki 3 kuanzia sasa. Siku si nyingi sana kama una mzigo wa chakula na una nauli ya kazini na hela ya bundle !

Tunatoboa kiume.

Ni wewe tu ulieishiwa
 
Japo pesa haijawahi kutosha lakini kwa upande wangu bado sijaonja joto la expenses kuzidi income....labda kwasababu bado nipo kwa baba


Upo kwenye njia sahihi. Jitahidi kubaki hapohapo hadi ukifika wakati wa kutoka kwa Baba kwenda kwa Babe!
 
Back
Top Bottom