Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,201
- 16,269
He he he, ni mzanzibara nayeishi bububu
Nlifkiri mchambawima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He he he, ni mzanzibara nayeishi bububu
Waguna nini tena Baba Paroko..........
Nilikuwa nimenigwa na maji!!!!!!!!!!!!
Kinachofurahisha na kutia moyo zaidi hadi wengine kuyapenda maisha ni kujua kuwa manjonjo yote hayo ni kwaajili yangu kwa kiasi kikubwa ...... lol!
Acha niyapende maisha, Mungu nipe kuishi kwingi nipate vingi vinono!
Cc: snowhite
Pole Baba Paroko.......naweza kuja kutoa msaada wangu huko........
Sawa lakini ineed mtu wa kunihudumia for the rest of the day!!!
Can you?[serious]
best kuna watu wana mahangaiko ya dunia mmmh acha tuwapishe
Kaka hujambo lakini...
Unajua unalo deni kule mahali pa siku ile...?
Nione tafadhali kabla jua halijazama..................!
Haya warembo mkuye huku mnaitwa. Heaven on earth, Chocs, Cantalisia, Asnam, Mkunde Original, KOKUTONA, tinna cute, Batuli aka Cleopatra, amu, mimi49 n.k
Kuna darasa huru hapa limetolewa.
Senki yu vere much(In makindas voice)
Uwage unanisifia basi baba watoto..........
Mtambuzi mie niweke kwenye list ya mazoezi nilianza kipindi flani nikawa natembea hadi morocco ila watu wakanitolea mimacho na kunishupalia, wengine wakanitisha kuwa kuna vibaka njiani na nini nikaacha would like to do that as a team, hope to be there soon nikifika hapo Exim Towers saa kumi na moja jioni will meet other team right?