chrisbleez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 735
- 1,208
Hamjambo ndugu zangu!
Leo ningependa kidogo tujadili kuhusu siasa za kenya hasa kwa hiki kinachoendelea kwa hivi sasa...kitendo cha raisi uhuru mwigai kenyata kutangaza rasmi kumuunga mkono mpinzani wake raila amolo odinga.
Jambo hili limetushangaza sana na kusema ukweli nimependa sana kuona siasa za wenzetu zikipiga hatua na kwakweli hii imeonyesha upendo wa hali ya juu hata kwa chama cha jubilee wenyewe wanaonesha kumfurahia.
Sasa swali langu ni kwamba chama cha jubilee ambacho ndio chama tawala kwa pamoja kitakwenda kumuunga mkono mpinzani wake raila amolo ondinga kuwa raisi wa jamuhuri ya watu wa kenya na kumuacha makamu wake wiliam ruto?!!!!
Updates;
Uhuru kenyata atangaza rasmi kuwa kenya ni nchi ya sita kwa utajiri barani africa bila kuwa na madini wala mafuta🤭
Leo ningependa kidogo tujadili kuhusu siasa za kenya hasa kwa hiki kinachoendelea kwa hivi sasa...kitendo cha raisi uhuru mwigai kenyata kutangaza rasmi kumuunga mkono mpinzani wake raila amolo odinga.
Jambo hili limetushangaza sana na kusema ukweli nimependa sana kuona siasa za wenzetu zikipiga hatua na kwakweli hii imeonyesha upendo wa hali ya juu hata kwa chama cha jubilee wenyewe wanaonesha kumfurahia.
Sasa swali langu ni kwamba chama cha jubilee ambacho ndio chama tawala kwa pamoja kitakwenda kumuunga mkono mpinzani wake raila amolo ondinga kuwa raisi wa jamuhuri ya watu wa kenya na kumuacha makamu wake wiliam ruto?!!!!
Updates;
Uhuru kenyata atangaza rasmi kuwa kenya ni nchi ya sita kwa utajiri barani africa bila kuwa na madini wala mafuta🤭