thebosskissima
Member
- May 22, 2017
- 65
- 298
Muhumu kuliko yote.
1.Tuwape mitaji wake zetu ili wasimame wenyewe mapema.
2.Tuandike warithi mapema
Usione fahari kuoa mwanamke ukirudi nyumbani unakuta kaandaa mahanjumati tu, bingilibingili michezo ya Sakafuni, kuna leo na kuna kesho haupo, wanawake wanateseka sana baada ya wanaume zao kufariki.
Mwanaume Jifunze kwa wanawake unaowaona wanateseka leo hali ya kuwa kabla walikuwa wanaishi vyema na Waume zao
Mwanamke amkaa
1.Tuwape mitaji wake zetu ili wasimame wenyewe mapema.
2.Tuandike warithi mapema
Usione fahari kuoa mwanamke ukirudi nyumbani unakuta kaandaa mahanjumati tu, bingilibingili michezo ya Sakafuni, kuna leo na kuna kesho haupo, wanawake wanateseka sana baada ya wanaume zao kufariki.
Mwanaume Jifunze kwa wanawake unaowaona wanateseka leo hali ya kuwa kabla walikuwa wanaishi vyema na Waume zao
Mwanamke amkaa