Leo nimetimiza miaka 5 kwenye hiki chama

NI MTAZAMO TU

JF-Expert Member
Feb 20, 2014
1,203
998
Kipindi kile cha Ulokole kwenye makanisa yetu tulikuwa tunajisifia NA kuulizana "mwenzanu unamiaka mingapi mpka sasa kwenye WOKOVU"

Na ilikuwa ni sifa kubwa kushirikishwa kwenye vikao vya wakubwa kama ungalau unamiaka 4 kwenye WOKOVU bila kuangaka (kufanya dhambi) na wengine chini ya miaka 4 ilitafusiliwa kama bado wanaukulia WOKOVU.

SASA LEO NASEMA HIVI tangia nimejiunga kwenye chama fikirishi tarehe 11 February 2014 cha JAMII FORUM sasa ni miaka 5 .

Hakika kama ni chuo nina PhD sasa.

Hebu tuambie una miaka mingapi wewe mpka leo humu Jamvini au bado unakunywa maziwa yasioghoshiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! miaka inakimbia sana, hongera kwa kufikisha miaka 5 JF...ebu tuambie umejifunza nini kwa muda wote huo
 
Hongera sana mkuu.Mimi niko hapa since May 20 2012.Nimejifunza vingi.

Lakini nilichogundua ni kuwa ,member wengi wa JF wa wakati huo hawapo tena au wako kwenye lile jukwaa Premium.

JF pia imepunguza ile hadhi yake ya Home of Great Thinkers hadi kuwa jukwaa flani la watu wa kawaida waliojawa mizaha,hoja nyepesi na utani mwingi.

Hoja nyingi hapa jukwaani sio fikirishi tena.Majibu ya hoja ni ya kukatisha tamaa.Lakini kimsingi mambo hubadilika na sisi silent followers bado tupo.

Idumu JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana mkuu.Mimi niko hapa since May 20 2012.Nimejifunza vingi.

Lakini nilichogundua ni kuwa ,member wengi wa JF wa wakati huo hawapo tena au wako kwenye lile jukwaa Premium.

JF pia imepunguza ile hadhi yake ya Home of Great Thinkers hadi kuwa jukwaa flani la watu wa kawaida waliojawa mizaha,hoja nyepesi na utani mwingi.

Hoja nyingi hapa jukwaani sio fikirishi tena.Majibu ya hoja ni ya kukatisha tamaa.Lakini kimsingi mambo hubadilika na sisi silent followers bado tupo.

Idumu JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa ila nilichogundua shule nyingi sana humu siku hizi na mihemko, mambo ya mitaani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom