Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,803
- 8,794
Mungu ni mwemaDuuh jiwe limesagika asee...Mungu noma
Mungu ni mwemaDuuh jiwe limesagika asee...Mungu noma
mkuu home nilishasepa kitambo sana.
may be hiyo risks yako nijaribu tena kivingine, nilishawahi jilipua kuishi mbeya nikaishi miez 7 tatizo sikuona kama sehemu sahihi kuanzia maisha.
nilipata room mitaa ya isanga nikawa nalipa kodi 15k kwa mwezi upande wa kodi nilifanikiwa. nilikimbiza maisha kwa hiyo miezi nikaona hapa sitoboi nikafanya uamuzi wa kwenda dar napo naona pamekuwa pagumu zaidi.
nakubali mkuuMaisha nikujaribu, ukiona mkoa fulani hauna mishe unahama.
Siri ya kutoboa, jifunze kuchangamana na vijana wenzako. Hata km nikijiweni vijana wanakaa, kaa nao, muulize hata mpangaji wako mishe zinakwendaje?
Maisha ni kama umepanda mti vile, leo umepanda mbegu unategemea kesho uote, keshokutwa uanze kuchuma matunda. Hiyo big No
Hangaika kila kona ambako unaona kuna fursa ya kupata pesa
Mtafute rafiki yako wa karibu akushike moyo , inawezekana umekufa hawakwambii tuBaada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
"Being educated does not guarantee you a success in a real life"-(R.I.P Dr.Chungu).Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Ungekuwa Dom.. Tungekimbiza kazi za Zege.nipo dar mkuu, kazi ngumu show show nakimbiza. maisha yamesimama option ni kukimbiza chochote.
👊👊Ungekuwa Dom.. Tungekimbiza kazi za Zege.
Afadhali ww umekuwa mkweli sio mnafikibrother nikiri mbele yako sikuwah kumuelewa wala kumkubali marehemu.
Kwahyo unataka mfanane??Yesu wangu mm hizo asset nimeanza kumiliki toka nikiwa na miaka 19
Sahivi nina miaka 22 ila nina kila kitu...
UvivuHivi ambao haakusoma wanaishije, hebu uzembe wenu msijusty na elimu. Kuna watu hawajasoma na wana maisha mazuri sana
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Hivi kuna mtu analala juu?Watu wote si huwa wanalala chini?Sasa unalala chini?
Baada ya kutimiza huu umri nimejikuta natamka maneno magumu sana education is a lottery ticket not a safe investment.
Nimetafuta kazi nimekosa, nimefanya biashara nimefilisika.
So nilichobakiza ni kuwalamba wana mizinga ya ten tu ili niishi.
Sindano inauma ila ndio iponyayoHivi ambao haakusoma wanaishije, hebu uzembe wenu msijusty na elimu. Kuna watu hawajasoma na wana maisha mazuri sana
Yeah,ushauri mzuri ila asibwetekeHaya Maisha wala yasikusumbue, binafsi nilikua kwa shangazi yangu nakula ugali wa shikamoo mpaka nilipotiza miaka 35, ukifikiria umri unachanganyikiwa. Nilikua hapo nikiwa sina mbele wa nyuma, Maisha magumu na hata hela ya vocha sina. Siku niliyofanikiwa kupata chanzo cha kipato nilishukuru sana japo nilichelewa mambo mengi ikiwa ni pamoja na kuanzisha familia ila nashukru mungu sasa ninasonga mbele. Ninachokuambia kazi buti, usiogope kukaa kwa ndugu na wala usiogope umri japo nichangamoto, epuka wizi, unywaji wa pombe, umalaya na tabia za kishenzi maana hujui kesho yako
Kwenye cementHivi kuna mtu analala juu?Watu wote si huwa wanalala chini?