Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Juwa wazi,Tanganyika imepakana na nchi nyingi,Uganda,Zambia,Malawi,Rwanda,Burundi,Kongo,huko kote kunakuja wasafiri,kupanda meli,inaptekea ajali,na kuwa na kitambulisho,ni wepesi kuwaafahamisha balozi husika.Hizo ni sababu za kitoto tumia kuwadanganya wenzako
Hayo majitu ya visiwani ni mabaguzi hayana tofauti na shwetan
Mbona wao wakiwa wanakuja tanganyika hawapewi usumbufu km watanganyika wakiwa wanaenda uko kwenu