Leo, nimethibitisha kwamba Zanzibar ni nchi inayojitegemea

Zanzibar ni nchi kamili.
-Ina rais wake.
-Ina wimbo wake wa taifa.
-Ina bendera yake

Machogo endeleeni kuzubaa tu, wajinga ndiyo waliwao.

Nchi inazidiwa population na wilaya ya Temeke lakini imetoa rais anayetawala Tanganyika, ina mawaziri kibao na wabunge kwenye bunge lenu, ina members wa baraza la wawakilishi huko kwao, ina mawaziri kwenye baraza lao.

Yaani kwa kifupi(my thoughts) karibu kila kaya ina kiongozi wa kitaifa, pesa za kumudu gharama/malipo ya hao viongozi ni kodi zenu machogo.

Serikali mbili my foot
Manina walahi
 
ILI KUEPUKANKADHIA YA KUTEMBEA NA FURUSHI LA VITAMBULISHO SERIKALI IFANYE YAFUATAYO
1. Kwa kuwa wote tumekwisha andikishwa basi badala ya kutembea na kadi ambazo zinapotea au kuchakaa basi tusajili fingerprint zetu ziwe ndio mbadala wa kadi

2. Kila sehemu ziwepo mashine ambazo nikiweka kidole changu basi inasoma na kutoa taarifa zangu zote kwenye screen

3. Dereva hatotembea tena na leseni bali akikamatwa na traffic ili kuthibitisha kuwa ana leseni basi vile vi poss machine vyao vinamtambua kupitia alama.za vidole

4. Ukienda bank badala ya kutumia.Kadi bass atm inakutambua kwa alama.za vidole

5. Na kila sehemu inayohitaji huduma.basi tungefanya hivyo tungeondoa kero kubwa ya usumbufu kama huu, kuibiwa kwa njia ya mtandao nk
 
Zanzibar ni nchi kamili.
-Ina rais wake.
-Ina wimbo wake wa taifa.
-Ina bendera yake

Machogo endeleeni kuzubaa tu, wajinga ndiyo waliwao.

Nchi inazidiwa population na wilaya ya Temeke lakini imetoa rais anayetawala Tanganyika, ina mawaziri kibao na wabunge kwenye bunge lenu, ina members wa baraza la wawakilishi huko kwao, ina mawaziri kwenye baraza lao.

Yaani kwa kifupi(my thoughts) karibu kila kaya ina kiongozi wa kitaifa, pesa za kumudu gharama/malipo ya hao viongozi ni kodi zenu machogo.

Serikali mbili my foot
ila nikikumbuka kauli ya mheshimiwa mmoja kuwa idadi ya wazenji ambao wapo bara kwa sasa kimakazi ni zaidi ya waliobaki huko ndio maana naona ni kwanini idadi yenu inaongezeka taratibu kumbe mnasogea huku, si hatuna hiyana karibuni sana, mje tujipatie wake wazuri ( nyie wazenji watamu nyie) nanyi muoe na kujenga.

Ila Muungano kuvunjika sahauni, sisi tunachojali ni usalama wetu, kwa jinsi mlivyo na shobo na siasa kali tukiwaacha mjitawale soon tu mtaanza kujitoa mhanga na kujilipua huku bara, nanyi mtaanza kukatana mikono na kupigana mawe mpaka kufa huko visiwani, ngoja tuendelee kuwanyoosha mpaka mstaarabike kwanza. Kazi iendelee
 
Ndio unajua leo unadhani wale wanaosema Kuna kero za muungano walikuwa wanajilalamikia tu.

Kwa taarifa yako hiyo changamoto Ni Cha mtoto Kuna changamoto zingine siku ukikutana nazo utakuja kufungua Uzi zaidi ya huu
 
Nilikuwa na trip yangu ya dharula kwenda Unguja, baada ya kufika bandari kivukoni, nikaenda kata ticket nikaulizwa ID kujipiga Sachi nimevisahau.

Nikawaambia nina namba ya NIDA wakasema hawaitambui wanataka ID tu,

Nikasema isiwe case kwa kuwa ni dharula I must go, nikaenda Kisutu nikapewa Barua ya uthibitisho nikapanda boti, nafika zenji bandarini nikaonyesha Barua, wakaivuta wakaitoboa toboa kwamba hawaitambui, nikawaambia Nina NIDA No. Wakaichukua kuicheki wakanirudishia Barua, wakaniambia pita. Ila wakasema hawaitambui Barua ya mahakama kuu , wanachotambua wao ni NIDA tu.

Nimejiuliza maswali mengi sana, Hilo limenitokea Mimi at least nina ufahamu hao Watanzania mil 20 plus wasio naufahamu Nani anawasema juu ya hili?

Ukaguzi bandarini,jirekebisheni both Tanzania mainland na Tanzania island

Na bado. Rais wako ni Mzanzibari nakukumbusha tu. Ila bado utakaguliwa na lazima uthibishe Utanzania wako. Mahakama Kuu ni ya Tanganyika siyo za Zanzibar
 
Ndio unajua leo unadhani wale wanaosema Kuna kero za muungano walikuwa wanajilalamikia tu.

Kwa taarifa yako hiyo changamoto Ni Cha mtoto Kuna changamoto zingine siku ukikutana nazo utakuja kufungua Uzi zaidi ya huu
Kuna la kufanya hapa
 
Nilikuwa na trip yangu ya dharula kwenda Unguja, baada ya kufika bandari kivukoni, nikaenda kata ticket nikaulizwa ID kujipiga Sachi nimevisahau.

Nikawaambia nina namba ya NIDA wakasema hawaitambui wanataka ID tu,

Nikasema isiwe case kwa kuwa ni dharula I must go, nikaenda Kisutu nikapewa Barua ya uthibitisho nikapanda boti, nafika zenji bandarini nikaonyesha Barua, wakaivuta wakaitoboa toboa kwamba hawaitambui, nikawaambia Nina NIDA No. Wakaichukua kuicheki wakanirudishia Barua, wakaniambia pita. Ila wakasema hawaitambui Barua ya mahakama kuu , wanachotambua wao ni NIDA tu.

Nimejiuliza maswali mengi sana, Hilo limenitokea Mimi at least nina ufahamu hao Watanzania mil 20 plus wasio naufahamu Nani anawasema juu ya hili?

Ukaguzi bandarini,jirekebisheni both Tanzania mainland na Tanzania island
Na bado muda si mrefu utajua Chato ni mkoa
 
Zanzibar ni nchi kamili.
-Ina rais wake.
-Ina wimbo wake wa taifa.
-Ina bendera yake

Machogo endeleeni kuzubaa tu, wajinga ndiyo waliwao.

Nchi inazidiwa population na wilaya ya Temeke lakini imetoa rais anayetawala Tanganyika, ina mawaziri kibao na wabunge kwenye bunge lenu, ina members wa baraza la wawakilishi huko kwao, ina mawaziri kwenye baraza lao.

Yaani kwa kifupi(my thoughts) karibu kila kaya ina kiongozi wa kitaifa, pesa za kumudu gharama/malipo ya hao viongozi ni kodi zenu machogo.

Serikali mbili my foot
Painful Truth
 
Zanzibar ni nchi kamili.
-Ina rais wake.
-Ina wimbo wake wa taifa.
-Ina bendera yake

Machogo endeleeni kuzubaa tu, wajinga ndiyo waliwao.

Nchi inazidiwa population na wilaya ya Temeke lakini imetoa rais anayetawala Tanganyika, ina mawaziri kibao na wabunge kwenye bunge lenu, ina members wa baraza la wawakilishi huko kwao, ina mawaziri kwenye baraza lao.

Yaani kwa kifupi(my thoughts) karibu kila kaya ina kiongozi wa kitaifa, pesa za kumudu gharama/malipo ya hao viongozi ni kodi zenu machogo.

Serikali mbili my foot

Hadi sarafu wanayo
 
Ni muhimu ; Tanganyika ikarudi kwenye nafasi yake ili kuwe na uwanja sawa kwa nchi mbili zilizoungana.... Vinginevyo ni usanii mtupu, unaofaidisha viongozi huku kubaguana kupitia watendaji, kukiendelea kimya kimya.
Kwani katiba pendekezi ilikuwa ina semaje
 
Zanzibar ni nchi kamili.
-Ina rais wake.
-Ina wimbo wake wa taifa.
-Ina bendera yake

Machogo endeleeni kuzubaa tu, wajinga ndiyo waliwao.

Nchi inazidiwa population na wilaya ya Temeke lakini imetoa rais anayetawala Tanganyika, ina mawaziri kibao na wabunge kwenye bunge lenu, ina members wa baraza la wawakilishi huko kwao, ina mawaziri kwenye baraza lao.

Yaani kwa kifupi(my thoughts) karibu kila kaya ina kiongozi wa kitaifa, pesa za kumudu gharama/malipo ya hao viongozi ni kodi zenu machogo.

Serikali mbili my foot
Kitu kizito😂😂
 
Zanzibar ni nchi kamili.
-Ina rais wake.
-Ina wimbo wake wa taifa.
-Ina bendera yake

Machogo endeleeni kuzubaa tu, wajinga ndiyo waliwao.

Nchi inazidiwa population na wilaya ya Temeke lakini imetoa rais anayetawala Tanganyika, ina mawaziri kibao na wabunge kwenye bunge lenu, ina members wa baraza la wawakilishi huko kwao, ina mawaziri kwenye baraza lao.

Yaani kwa kifupi(my thoughts) karibu kila kaya ina kiongozi wa kitaifa, pesa za kumudu gharama/malipo ya hao viongozi ni kodi zenu machogo.

Serikali mbili my foot
Huu ni uozo wa ccm na vibaraka wake.
 
Nilikuwa na trip yangu ya dharula kwenda Unguja, baada ya kufika bandari kivukoni, nikaenda kata ticket nikaulizwa ID kujipiga Sachi nimevisahau.

Nikawaambia nina namba ya NIDA wakasema hawaitambui wanataka ID tu,

Nikasema isiwe case kwa kuwa ni dharula I must go, nikaenda Kisutu nikapewa Barua ya uthibitisho nikapanda boti, nafika zenji bandarini nikaonyesha Barua, wakaivuta wakaitoboa toboa kwamba hawaitambui, nikawaambia Nina NIDA No. Wakaichukua kuicheki wakanirudishia Barua, wakaniambia pita. Ila wakasema hawaitambui Barua ya mahakama kuu , wanachotambua wao ni NIDA tu.

Nimejiuliza maswali mengi sana, Hilo limenitokea Mimi at least nina ufahamu hao Watanzania mil 20 plus wasio naufahamu Nani anawasema juu ya hili?

Ukaguzi bandarini,jirekebisheni both Tanzania mainland na Tanzania island
Kichwa cha habari cha habari yako na maelezo mazima ya habari yako hayana mahusiano kabisa, isipokuwa hapa uliandika kwa emotions zako tu.

Nachojua mimi kati ya sababu ya kuitaji kitambulisho chako ni kuangalia jina lako limeandikwa vipi ili nae aandike kwa usahihi kama ilivyo kwenye ID CARD yako.

Kwanini aandike jina hadi aangalie kwenye ID card yako?, Kwa sababu kuna baadhi ya majina yanatamkwa sawa ila uandikwa tofauti, mathalani ya Michael, ,Mico, Maiko, Maico na majina mengine yenye mfano huo.

Lakini sababu nyingine ni pale getini, supervisors waliopo pale inatakiwa waangalie picha ya kitambulisho chako wakufananishe na wewe (mwenye kitambulisho) ili kuepuka mambo fulani fulani.
 
Nilikuwa na trip yangu ya dharula kwenda Unguja, baada ya kufika bandari kivukoni, nikaenda kata ticket nikaulizwa ID kujipiga Sachi nimevisahau.

Nikawaambia nina namba ya NIDA wakasema hawaitambui wanataka ID tu,

Nikasema isiwe case kwa kuwa ni dharula I must go, nikaenda Kisutu nikapewa Barua ya uthibitisho nikapanda boti, nafika zenji bandarini nikaonyesha Barua, wakaivuta wakaitoboa toboa kwamba hawaitambui, nikawaambia Nina NIDA No. Wakaichukua kuicheki wakanirudishia Barua, wakaniambia pita. Ila wakasema hawaitambui Barua ya mahakama kuu , wanachotambua wao ni NIDA tu.

Nimejiuliza maswali mengi sana, Hilo limenitokea Mimi at least nina ufahamu hao Watanzania mil 20 plus wasio naufahamu Nani anawasema juu ya hili?

Ukaguzi bandarini,jirekebisheni both Tanzania mainland na Tanzania island
Ndugu yetu ni ya kweli haya?? Tunaomba wajuzi wa mambo, tunaamini mpo humu, tujuzeni ukweli wa hili. Au maafisa walioko ktk entrance point hizo ndio hawajatambua tafsiri ya maelekezo/Sheria husika?
 
Back
Top Bottom