ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,017
- 3,874
Mohamed Said ni mmoja kati ya JF members ambao wana facts nyingi sana za kihistoria pamoja na kwamba huwa anakuwaga na falacy zake flani hasa za kiimani ambazo binafsi huwa naona zinafanya watu wamu underate hasa wale ambao hawapendi religious identity zitumike katika historia.Kwa mfano AbdulSykes na wazee wengine waliokuwa wakazi wa Dar ambao walishiriki katika strugles za uhuru hawakufanya vile kwa sababu ya uislamu wao bali ni kwa sababu ya Utanganyika wao,Hata mzee Karume aliposhiriki katika kupinga utawala dhalimu wa SUltani Zanzibar hakufanya vile kwa sababu ya uislamu wake bali ni kwa sababu ya Uzanzibari wake.
Kimsingi mimi bado nitaendelea kukuheshimu kwa utajiri wa maarifa na historia uliotupatia na bado nitaendelea kukataa kwamba Waislamu wa Tanzania wamekuwa Marginalized kwani hata ukiande hata katika nchi ambazo waislamu wako majority bado kuna changamoto ya kukasa muamko na kujikuta wakishindwa kutumia vizuri fursa ingawa wengine wakizitumia huanza kunyooshana vidole.
Nafikiri ni vyema Mzee akawekeza pia katika kuwaeleza waislamu wengine madhara ya kutokuhamasisha watoto wao pia kupambana katika ilimu dunia kama wanavopambania ilimu ahera.Awaambe tu ukweli kwamba mchawi wao sio KAFIRI bali mchawi wao ni wao wenyewe.
ALL in ALL kila laheri nitaitafuta hio makala niitazame maana bdo TBC hawajanishawishi kuwatazam labda mpaka Pascal Mayalla atakapopewa kazi ya kuwa Mkuu wa Idara ya habari maelezo na mkurugenzi wa TBC nitafikiria kuiangalia TBC ili nijue kama ataendelea kuwa critical au ataendelea kuwa kada.Asije kuwa kama Polepole na Bashiru enzi za JPM
Kimsingi mimi bado nitaendelea kukuheshimu kwa utajiri wa maarifa na historia uliotupatia na bado nitaendelea kukataa kwamba Waislamu wa Tanzania wamekuwa Marginalized kwani hata ukiande hata katika nchi ambazo waislamu wako majority bado kuna changamoto ya kukasa muamko na kujikuta wakishindwa kutumia vizuri fursa ingawa wengine wakizitumia huanza kunyooshana vidole.
Nafikiri ni vyema Mzee akawekeza pia katika kuwaeleza waislamu wengine madhara ya kutokuhamasisha watoto wao pia kupambana katika ilimu dunia kama wanavopambania ilimu ahera.Awaambe tu ukweli kwamba mchawi wao sio KAFIRI bali mchawi wao ni wao wenyewe.
ALL in ALL kila laheri nitaitafuta hio makala niitazame maana bdo TBC hawajanishawishi kuwatazam labda mpaka Pascal Mayalla atakapopewa kazi ya kuwa Mkuu wa Idara ya habari maelezo na mkurugenzi wa TBC nitafikiria kuiangalia TBC ili nijue kama ataendelea kuwa critical au ataendelea kuwa kada.Asije kuwa kama Polepole na Bashiru enzi za JPM