ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 482
- 1,053
Kama kuna sehemu nilikuwa naisikia na kuona ni eneo ambalo baya kuna kila aina ya uhaini ukabaji yaani kila aina mambo mabaya ni Manzese, muda muda si muda kukaibuka Buza yaani kila jambo baya utasikia, huku ikanifanya kidogo niende kutembea kuona hayo yanayosemwa.
Aisee Buza tofauti na unavyosikia yaani ni mahali pazuri mno, kuna maisha mazuri tu. Kuna mtu aliwahi niambia SAA 12 huwezi kuongea na simu nje barabarani, ni uongo tu Buza kuzuri kumenoga barabara za lami mpaka vichochoroni, mataa barabarani kila kona.
Aisee Buza tofauti na unavyosikia yaani ni mahali pazuri mno, kuna maisha mazuri tu. Kuna mtu aliwahi niambia SAA 12 huwezi kuongea na simu nje barabarani, ni uongo tu Buza kuzuri kumenoga barabara za lami mpaka vichochoroni, mataa barabarani kila kona.