chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Hizi ndoto kama ni kweli au sikweli sijui zina nini labda wanao fahamu wanaweza kunieleza.
Ndoto ilivyo:
Natembea naona watu kama wamefikia kuwa dunia iliyo apocalypse (kufika mwisho au kishindikana), sasa kila mtu kapoteza muelekeo na hakuna mwenye jibu wala msaada.
Bahati mbaya naenda nyumbani nafika tu naona nyumba zinaanza kupukutika kama vumbi huku watu wakikimbia ambapo upande wa magharibi, jua linapo zama na upande wa mashariki giza linapoingia ni watu wanazidi kupotea !
Basi kuna sehemu nilikimbia nikamkuta baba yangu mzazi kama kashakata tamaa kiufipi.
Niliposimama kumuuliza mbona umesimama, nashangaa ananipa elfu kumi kuwa utanunua vocha? Hiyo vocha utanunua wapi kama ndoto yenyewe inavosema.
Baadae nikaona kama hakuna pa kukimbilia, kila mtu kubaki kusibiri ni nini! Hapo nipo na baba.
Tuliona kama shimo jeusi sasa limekuwa kubwa kwa kitaalamu blackhole upande wa mashariki linazidi kutumeza huku tukigeuka mavumbi.
Baada mambo kuwa magumu ndo nakumbuka kutubu na kuomba nisamehewe!
Ndoto ilivyo:
Natembea naona watu kama wamefikia kuwa dunia iliyo apocalypse (kufika mwisho au kishindikana), sasa kila mtu kapoteza muelekeo na hakuna mwenye jibu wala msaada.
Bahati mbaya naenda nyumbani nafika tu naona nyumba zinaanza kupukutika kama vumbi huku watu wakikimbia ambapo upande wa magharibi, jua linapo zama na upande wa mashariki giza linapoingia ni watu wanazidi kupotea !
Basi kuna sehemu nilikimbia nikamkuta baba yangu mzazi kama kashakata tamaa kiufipi.
Niliposimama kumuuliza mbona umesimama, nashangaa ananipa elfu kumi kuwa utanunua vocha? Hiyo vocha utanunua wapi kama ndoto yenyewe inavosema.
Baadae nikaona kama hakuna pa kukimbilia, kila mtu kubaki kusibiri ni nini! Hapo nipo na baba.
Tuliona kama shimo jeusi sasa limekuwa kubwa kwa kitaalamu blackhole upande wa mashariki linazidi kutumeza huku tukigeuka mavumbi.
Baada mambo kuwa magumu ndo nakumbuka kutubu na kuomba nisamehewe!