Leo nimeona post ya ndugu yangu Ado Shaibu wa ACT. Inadai wanawake wa ACT wanamtaka (hawaombi) raisi aitishe kikao cha maridhiano!

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
244
312
Leo nimeona post ya ndugu yangu Ado Shaibu wa ACT. Inadai wanawake wa ACT wanamtaka (hawaombi) raisi aitishe kikao cha maridhiano! Mwisho Ado akaongeza "takataka" binafsi za kudai tume huru na katiba mpya!
Yaani kichekesho!

Kumbe walisusa huku kiroho kinauma? Walidanganyana wataitwa?
Kiongozi wa ACT Zitto wakati anatangaza kususa achaguzi alidai WASILAUMIWE! Yaani alitoa kitisho! Sasa wanawake wa Chama chake wanamtaka (hawamuombi) waliyemtishia ndio aitishe kikao cha maridhiano! Ingefaa wajue serikali inasubiri watende hicho ambacho wanadhani watalaumiwa wakikitenda. Ama sivyo watuambie wamekwama kutekeleza kitisho!

Hivi unayemwambia "asikulaumu" atakutana na wewe ili iweje? Akulaumu?
Hivi kama kususa kulihusiana na tume kutokuwa huru (kwa mtazamo wao) au kukosekana kwa katiba mpya kwa nini walihamasishana kujiandikisha? Si wangesusa toka mwanzo? Tushike lipi? Mlinyimwa form, mlinyimwa kurudisha form, wagombea walikatwa au katiba na time?

Je huu si uthibitisho kuwa tangu awali mlipanga kuharibu uchaguzi ili mdai tume na katiba mpya? Tuseme msingekatwa, kukataliwa, kukwepwa kama mnavyodai mngeshiriki chini ya tume hii iliyopo na katiba iliyopo? Hili wazo la tume na katiba limewajia kabla au baada ya kususa?

Hamuoni mnaanika uchawi wenu sokoni?
Hizi kauli na vitisho vya kitoto vinawaponza!

Nawashauri hivi: hakuna atakayewaita kutafuta mwafaka maana hakuna mgogoro wa kitaifa. Wala huyo mnayetaka aandae kikao Hana huo muda. Mlitaka kukutana naye wahini majimboni kwani huwa anapita huko kutatua kero halisi za wananchi. Akifika eneo lako omba mic umueleze tatizo lako ni katiba, tume, kunyimwa kuchukua au kurejesha form, kukatwa wagombea! Na sio maji, zahanati, shule, barabara! Halafu usikilize atakavyokujibu ili upate huo mwafaka.

Kama hili huwezi endelea kususa na kutishia ila usitende uhalifu maana utajuta!
 
Unahangaika sana,unaandika hovyo hovyo bila mpangilio!watetezi wengi wa CCM mitandaoni ni mbumbumbu,alisikika mwehu mmoja akisema!
Nafikiri huwa ni wale walioenda kidato cha kwanza(sio kufaulu) wakiwa hawajui kusoma,kuandika na kuhesabu.
CCM ni wanufaika wakubwa wa mfumo mbovu wa elimu wa nchii hii,kwani tafiti zinaonyesha kuwa asilimia kubwa hiki chama kinapendwa na wenye elimu hafifu,wenye uelewa mdogo,wazee na "masikini".
 
Leo nimeona post ya ndugu yangu Ado Shaibu wa ACT. Inadai wanawake wa ACT wanamtaka (hawaombi) raisi aitishe kikao cha maridhiano! Mwisho Ado akaongeza "takataka" binafsi za kudai tume huru na katiba mpya!
Yaani kichekesho!

Kumbe walisusa huku kiroho kinauma? Walidanganyana wataitwa?
Kiongozi wa ACT Zitto wakati anatangaza kususa achaguzi alidai WASILAUMIWE! Yaani alitoa kitisho! Sasa wanawake wa Chama chake wanamtaka (hawamuombi) waliyemtishia ndio aitishe kikao cha maridhiano! Ingefaa wajue serikali inasubiri watende hicho ambacho wanadhani watalaumiwa wakikitenda. Ama sivyo watuambie wamekwama kutekeleza kitisho!

Hivi unayemwambia "asikulaumu" atakutana na wewe ili iweje? Akulaumu?
Hivi kama kususa kulihusiana na tume kutokuwa huru (kwa mtazamo wao) au kukosekana kwa katiba mpya kwa nini walihamasishana kujiandikisha? Si wangesusa toka mwanzo? Tushike lipi? Mlinyimwa form, mlinyimwa kurudisha form, wagombea walikatwa au katiba na time?

Je huu si uthibitisho kuwa tangu awali mlipanga kuharibu uchaguzi ili mdai tume na katiba mpya? Tuseme msingekatwa, kukataliwa, kukwepwa kama mnavyodai mngeshiriki chini ya tume hii iliyopo na katiba iliyopo? Hili wazo la tume na katiba limewajia kabla au baada ya kususa?

Hamuoni mnaanika uchawi wenu sokoni?
Hizi kauli na vitisho vya kitoto vinawaponza!

Nawashauri hivi: hakuna atakayewaita kutafuta mwafaka maana hakuna mgogoro wa kitaifa. Wala huyo mnayetaka aandae kikao Hana huo muda. Mlitaka kukutana naye wahini majimboni kwani huwa anapita huko kutatua kero halisi za wananchi. Akifika eneo lako omba mic umueleze tatizo lako ni katiba, tume, kunyimwa kuchukua au kurejesha form, kukatwa wagombea! Na sio maji, zahanati, shule, barabara! Halafu usikilize atakavyokujibu ili upate huo mwafaka.
Kama hili huwezi endelea kususa na kutishia ila usitende uhalifu maana utajuta!

View attachment 1262164
Takataka
 
Leo nimeona post ya ndugu yangu Ado Shaibu wa ACT. Inadai wanawake wa ACT wanamtaka (hawaombi) raisi aitishe kikao cha maridhiano! Mwisho Ado akaongeza "takataka" binafsi za kudai tume huru na katiba mpya!
Yaani kichekesho!

Kumbe walisusa huku kiroho kinauma? Walidanganyana wataitwa?
Kiongozi wa ACT Zitto wakati anatangaza kususa achaguzi alidai WASILAUMIWE! Yaani alitoa kitisho! Sasa wanawake wa Chama chake wanamtaka (hawamuombi) waliyemtishia ndio aitishe kikao cha maridhiano! Ingefaa wajue serikali inasubiri watende hicho ambacho wanadhani watalaumiwa wakikitenda. Ama sivyo watuambie wamekwama kutekeleza kitisho!

Hivi unayemwambia "asikulaumu" atakutana na wewe ili iweje? Akulaumu?
Hivi kama kususa kulihusiana na tume kutokuwa huru (kwa mtazamo wao) au kukosekana kwa katiba mpya kwa nini walihamasishana kujiandikisha? Si wangesusa toka mwanzo? Tushike lipi? Mlinyimwa form, mlinyimwa kurudisha form, wagombea walikatwa au katiba na time?

Je huu si uthibitisho kuwa tangu awali mlipanga kuharibu uchaguzi ili mdai tume na katiba mpya? Tuseme msingekatwa, kukataliwa, kukwepwa kama mnavyodai mngeshiriki chini ya tume hii iliyopo na katiba iliyopo? Hili wazo la tume na katiba limewajia kabla au baada ya kususa?

Hamuoni mnaanika uchawi wenu sokoni?
Hizi kauli na vitisho vya kitoto vinawaponza!

Nawashauri hivi: hakuna atakayewaita kutafuta mwafaka maana hakuna mgogoro wa kitaifa. Wala huyo mnayetaka aandae kikao Hana huo muda. Mlitaka kukutana naye wahini majimboni kwani huwa anapita huko kutatua kero halisi za wananchi. Akifika eneo lako omba mic umueleze tatizo lako ni katiba, tume, kunyimwa kuchukua au kurejesha form, kukatwa wagombea! Na sio maji, zahanati, shule, barabara! Halafu usikilize atakavyokujibu ili upate huo mwafaka.
Kama hili huwezi endelea kususa na kutishia ila usitende uhalifu maana utajuta!

View attachment 1262164
Kwani wewe unadhani kazi ya rais na serikali nini? kujenga ustawi wa watanzania au kutunishiana misuli na watanzania ?it seems wewe hazikutoshi
 
Kwani wewe unadhani kazi ya rais na serikali ni? kujenga ustawi wa watanzania au kutunishiana misuli na watanzania ?it seems wewe hazikutoshi
vile calvin kimaro ni nani? plz strike him off. hastahili kabisa kuwa jf tena senior member! anajimwambafy tu. au nduguye musiba - mwanaharakati huru wa kutetea rais?
 
Back
Top Bottom