BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
...Hahahaa! Umeingizwa Mjini...wakati tayari Upo Mjini!!Wadau Leo nimezidiwa ujanja nimebaki nacheka kweli mjini shule nimemkuta mtu ana maembe dodo mazuri Mbagala stand nikayapenda, nikauliza bei akasema ni sh. 800 na yapo 4 Mimi nilitaka mawili tu....