Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,592
- 112,642
Huko alikokua anaongoza malaika, itakua kakata moto na huko
Ile ni mboga tuBangi sio mchezo Mkuu
Hajafa tena ila itatokea kitu kitachokufanya uumie.Nipe Tafsiri mkuu
Uje kutusimulia siku utakapoota umekufa!Huo ni Mtazamo wako karibu Sana.
Wengine ndoto zetu 80% zinatimia, hiyo nayo utaita kumbukumbu wakati unaota mambo yanayotukia siku zijazo?
Uje kutusimulia siku utakapoota umekufa!
Hajafa tena ila itatokea kitu kitachokufanya uumie.
Huko alikokua anaongoza malaika, itakua kakata moto na huko
Nadhani hiyo inasababishwa na tatizo la kula vyakula vyenye gesi nyingi usiku
Mkuu hii tafsiri yako nakubalia na na ww nusu n pia sikubalianiNdoto ni matokeo ya ubongo kufanya imaginations au kumbukumbu ya kitu au tukio lililowahi kutokea. So there is nothing to be worried about.
Ubaya wa ndoto sivyo inavyokuja ndivyo inavyo tafsir inaweza kua na maana nyingine kabisaNamuona rais wa sasa kaiingiza nchi kwenye boti inayoitwa chanjo ya uviko, baadhi ya wananchi wanamsonga kwa kutokubaliana na chanjo hii, Kisha nchi inayumba kwa kupitia kipindi kigumu cha uviko, Inagundulika kuwa tatizo Ni chanjo na serikali inaamua kustopisha chanjo, watu wanafanikiwa kushuka kwenye boti inayoitwa chanjo ya corona na hivo kuepuka madhara yake, lakini wengine hawawezi kuepuka madhara haya sababu tayari walikwisha chanjwa.
Inamana misukule huwa inakufa Mara mbili auBasi ndo amefanikiwa kufa kweli, maana ulimwenguni hapa kuna kunyakuliwa na mwanadamu na kunyakuliwa na Mungu,huenda alikowekwa huko kula pumba nako kakata moto.
Ndiyo mkuu,kuna kipindi ikichoka mateso ya kule au ikizeeka hufainamana misukule huwa inakufa Mara mbili au
Unajuaje! Je wanao wakitangulia wakakuacha?Pole sana,kufa ni huzuni.Naumia sana kila nikifikiria kuwa kuna siku nitawaacha wanangu
Asante kwa sala yenye nguvu. Na ikawe hivyoMzee Mngl, hatakufa kwa Jina La Yesu. Huo mfumo unaoua watu wa aina moja, kwa jina la magonjwa ya kupumua, moyo, mapafu ama jina lingine lolote naulaani kwa Jina la Yesu. Na yeyote au muungano wowote aliye kwenye hiyo mfumo, inayoondoa watu wa kundi moja kwa kisingizio
Katika Jina la Yesu mimi na watu wote wenye moyo safi tuseme Amen. Amen. Amen.
Mbavu za mbwa ni nini?Mkuu Mimi majuzi niliota ndoto inayoshabihana na yako kidogo !niliota Magufuli yupo sehemu flan ya ovyo Sana amewekwa huku akiwa mgonjwa, akiwa anasikitika Sana, sehemu kwa kweli ilikua nyuma ya mbavu za mbwa kukiwa na sofa moja chakavu na kimeza.
Ikaja gari ya wagonjwa ikimchukua akiwa katika hali dhaifu Sana.