Kajolijo
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,364
- 4,607
- Thread starter
- #81
Nashukuru kwa ushauri wenu wakuu, hakika kila ninaposoma baadhi ya komenti naona faraja kidogo lakini nikikumbuka ule muda wa jana nakosa amani kabisa,.. sijui hii hali nifanyeje..atakama unawaza kumwambia mkeo basi usimwambie hivi karibuni...umenisikitisha sana kijana ni vyema ukaitubu dhambi yako ili uwe Huru...@twaweza!!