EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,559
- 12,682
Kikaragosi ni mshabiki yeyote wa ccm kama ulivyo wewe
Kapige kura kwa JPM wewe acha ujinga na Karagosi wenu,aliye badirisha nchi kwa kiwango cha 85% tunamuachaje then tumpe mwenye kuonyesha uchu wa madaraka,yaani issue kwake siyo wananchi ni Ikulu,tena katoka kwenye makubaliano na whites huko nje,we unajua kakubaiana nao nini?mtu gani kuongea kwake muda wote ni mahasira tu dhidi ya wengine,hapa alitakiwa kunadi sera imara za kutufanyia sisi kama wananchi,lakini yeye kutwa kucha ni hasira dhidi ya JPM,hatuna shida na hasira zake sisi,sisi tuna shida na mambo mengi ambayo huyo huyo anaye mkasirikia tunamuona anatutendeaMtunzi wa wimbo huo wala hakua na maana unayoitaka mkuu.
Na kama una lengo la kumbeza au kumtweza au kumkejeli mgombea fulani, basi unapoteza muda wako.
Kila mtu kwa nafasi yake anatambua anataka nini katika uchuguzi huu, kwa jasho na damu, kura zitakwenda kuamua hatma ya nchi kwa mara ya kwanza. Kinyume na hapo ..............
Mtunzi wa wimbo huo wala hakua na maana unayoitaka mkuu.
Na kama una lengo la kumbeza au kumtweza au kumkejeli mgombea fulani, basi unapoteza muda wako.
Kila mtu kwa nafasi yake anatambua anataka nini katika uchuguzi huu, kwa jasho na damu, kura zitakwenda kuamua hatma ya nchi kwa mara ya kwanza. Kinyume na hapo ..............
leo nikiwa natoka mahali kwa kutumia public transport, ukapigwa wimbo wa King Kikii, kitambaa cheupe, hivyo from no where, nimetokea kumkumbuka mwanamuziki mkongwe huyu, jina kamili ni Kikumbi Mwanza Mpango, aka King Kikii, kumbe pia alikuwa na vibwagizo fulani vya kisiasa vya kiaina.
Kwenye wimbo huo, kuna versi aliimba
"Bongo ina mambo mengi mama eeh
Kila kukuchapo kuna mambo mapya,
Tuyazingatie ya kwetu,
Wala tusiwape muda Karagosi".
Karibu msikilize
Verse hiyo imenifikirisha sana, haswa kwenye muktadha wa uchaguzi mkuu wetu kwa upande wa urais.
Japo kikaragosi kwa kizungu ni cartoon, caricature, marionette, jee hapa kwenye neno Karagosi, King Kikii alimaanisha nini?.
Nani ni Karagosi au karagosi ni nani?.
Paskali
Jf haiwezi kuisaidia Chadema kushindaBeberu yoyote hawezi kuharibu amani ya nchi yetu, amani tuiharibu wenyewe halafu tumsingizie beberu.
P
Duh, nilimkumbuka King Kikii na wimbo wake wa kitambaa cheupe hivi karibuniMhesh Kassimu Majaliwa amemtembea nguli huyo wa muziki Nchini almaarufu Mzee wa Kitambaa Cheupe Nyumbani kwake leo.
Itakuwepo,kuna wimbo niliuona huko Tbc king kiki akisifu na kuabudu ooooh John eeeeeee,ohhhhhh jozeeeeeeeee,oooooh prezident wetuuuuu ohhhhhhhhhhhhivi bendi yake ya la capita ipo?