junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 976
Leo nilikuwa nimepanda daladala aina ya eicher hapa jijini Dar es salaam kama unavyojuwa jiji letu halikauki kwa foleni..lakini udhia wa foleni haukuonekana sababu dereva wa daladala ile alifungulia muziki wa Mnanda au mchiriku kiukweli Mungu amlipe kila la heri yule dereva
Japo sikulia kama kichwa cha habari kinavyosema lakini nilipata feelings za ajabu sana nilikumbukia enzi ya kitambo maisha tunakua kwenye ujana maisha ya Tandale na mwananyamala kwa manjunju ..kipindi unasikia mlio wa muziki kwa mbali unaufuata na kupata burudani na flash back kibao kwenye mechi za ndondo vibao na vigoma hivi vikipigwa na ukizingatia imepita miaka sikusikia mnanda na sauti za hawa mabingwa.
-7 survivor chini ya Juma mpogo
-Atomic chini ya omary omari
-Jagwa dah hawa ndio the best
Kiukweli yule dereva leo kanikonga nyoyo vilivyo nilivyokaribia kushuka nilimfuata na kumtunza 2000...
Asikuambie mtu mnanda mtamu sana kwanza nyimbo zao zina elimisha, wana mistari kuntu,minanda na vigoma vyao vinatia mzuka na mziki huu haunaga fujo au makelele ...sema siku hizi mziki huu umekufa ...
Japo sikulia kama kichwa cha habari kinavyosema lakini nilipata feelings za ajabu sana nilikumbukia enzi ya kitambo maisha tunakua kwenye ujana maisha ya Tandale na mwananyamala kwa manjunju ..kipindi unasikia mlio wa muziki kwa mbali unaufuata na kupata burudani na flash back kibao kwenye mechi za ndondo vibao na vigoma hivi vikipigwa na ukizingatia imepita miaka sikusikia mnanda na sauti za hawa mabingwa.
-7 survivor chini ya Juma mpogo
-Atomic chini ya omary omari
-Jagwa dah hawa ndio the best
Kiukweli yule dereva leo kanikonga nyoyo vilivyo nilivyokaribia kushuka nilimfuata na kumtunza 2000...
Asikuambie mtu mnanda mtamu sana kwanza nyimbo zao zina elimisha, wana mistari kuntu,minanda na vigoma vyao vinatia mzuka na mziki huu haunaga fujo au makelele ...sema siku hizi mziki huu umekufa ...