#COVID19 Leo nimekwenda Muhimbili kuchanja Corona halafu nimeogopa, nimerudi

Mimi kama kijana siwezi wahi chanjo wakati ziko milioni1 na watanzania tuko. Milion60 huo utakuwa ni ubinafsi. Tuwaachie waliopewa kipaumbele jamani huku tukisubiri zifike hata milion 20 ndo vijana tukagombanie. Mnataka wazee na warumishi wa uma wachanjwe nini kama nyie vijana mnazikimbilia. Hongera sana mtoa mada kwa kuwaachia nafansi makundi hatari
 
sikatai, lakini bado ukweli unabakia kuwa ni kweli kabisa hakuna aliyewahi kuona kirusi. Wataalamu wengi wanasema hivi: Uwezekano mkubwa ni kuwa watu wanadhurika kutokana na sumu, kitu wanachoita toxemia. Najua ni vigumu SANA kuwashawishi watu kuhusu mambo ambayo wameaminishwa kwa miaka na miaka, lakini waandishi wa kitabu kiitwacho VIRUS MANIA wanasema hivi LOLA70
View attachment 1963888

Tukitaka kujua uongo ambao dunia imejazwa sana, ni lazima tuwe tayari kuwa na mtazamo TOFAUTI kabisa.
Lakini tukiwa RIGID, tutadanganywa hadi tunaingia kaburini.

Tunapokutana na misimamo tofauti, ni muhimu tujiulize, HIVI INAWEZEKANA EE? Kisha unaanza kufuatilia. Utakutana na mambo ya ajabu mkuu
Lkn ugonjwa upo, kama unasababishwa na virus au lah,
 
Lkn ugonjwa upo, kama unasababishwa na virus au lah,
ni kweli magonjwa yapo ila mengine yanatangazwa kwa kupewa sifa za uongo ili watu watishike na kuingizwa mahali ambako hata hapahusiani na ugonjwa husika. Magonjwa mengi yanahitaji tu kubadili style ya maisha, kula vizuri, kupumzika na kumcha Mungu - BASI. Jiulize tu swali hili --- kama virusi vinasababisha magonjwa kama tunavyoambiwa, Anthony Fauci wa Marekani (kiranja mkuu wa covid), KWA NINI ALIKUWA ANAFANYA GAIN OF FUNCTION YA VIRUSI? --- yaani, kwa nini anatafuta kuviongezea uwezo wa kuambukiza na kuua? Je, si ni kwa sababu virusi kama virusi havina madhara? ----- DUNIA IMEDANGANYWA MENGI. IMEAMBIWA KUWA CHANJO ZIMEONDOA POLIO, NDUI NK DUNIANI ---- NI UONGO.
 
Leo, yaani jana Jumamosi nimekwenda Muhimbili kuchanja Corona. Nimeingia katika geti, nilikuwa nashangaa shangaa pale akaja mwanamke mmoja akaniuliza, "Kwani ulikuwa unataka kwenda wapi?" Nikamwambia nataka kuchanja Corona. Akaniambia pita pale hospitali ya Jakaya, halafu mbele kule kuna jengo la kutibu watoto, ndipo wanapochanja Corona.

Kwa hiyo nikaenda mpaka kule, lakini nilipofika pale nikaogopa kuingia ndani, nikarudi. Nikaamua kwamba labda naweza kufanya mazoezi ya yoga, laya yoga, raja yoga, sahaja yoga, whatever, lakini sitaki kuchanja.

View attachment 1913715
Ingekua kuchanja chanjo ya ngoma ungeahirisha pia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom