Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,095
- 2,696
Leo, yaani jana Jumamosi nimekwenda Muhimbili kuchanja Corona. Nimeingia katika geti, nilikuwa nashangaa shangaa pale akaja mwanamke mmoja akaniuliza, "Kwani ulikuwa unataka kwenda wapi?" Nikamwambia nataka kuchanja Corona. Akaniambia pita pale hospitali ya Jakaya, halafu mbele kule kuna jengo la kutibu watoto, ndipo wanapochanja Corona.
Kwa hiyo nikaenda mpaka kule, lakini nilipofika pale nikaogopa kuingia ndani, nikarudi. Nikaamua kwamba labda naweza kufanya mazoezi ya yoga, laya yoga, raja yoga, sahaja yoga, whatever, lakini sitaki kuchanja.
Kwa hiyo nikaenda mpaka kule, lakini nilipofika pale nikaogopa kuingia ndani, nikarudi. Nikaamua kwamba labda naweza kufanya mazoezi ya yoga, laya yoga, raja yoga, sahaja yoga, whatever, lakini sitaki kuchanja.