MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,466
- 14,879
Yes ningekubali.kuna jamaa anauliza hapa kwani ingekuwa wewe kweli ungekubali?
sawaItakua biashara ya viazi tu.
Atakuwa Hornetkumbe hawachi tuu ndio mwenye H jf nzima? ok
sio kweli, nyie mnawataja wanaoonekana sana hapa, wapo wengi sana wenye HAtakuwa Hornet
hamnaHata picha yake akiwa amegeuka nyuma hamna?
nami huwa nawaduwaaa sanaKwani Hamisa ni mzuri?😳
Kwani Hamisa ni mzuri?
Ngoja tuingie kwenye msako /uchunguziWadau mconnect dots, huyo H ni nani?
yah ni mzuri, ila akicheka anakua kama bibi bomba. akitabasam anapendeza.Kwani Hamisa ni mzuri?