Nimekula senene

iikatseb

JF-Expert Member
Sep 13, 2014
463
671
Wakuu habari za muda huu. Jana kuna mfanyakazi mwenzetu ni mwenyeji wa Bukoba alikuja na senene wamepikwa vizuri sana nadhani hakuwala akawa amempa mwenzetu. Sasa leo nikawa nimeziona nikasema ngoja nijaribu kuzila.

Huwezi amini nimekuta ni watamu mno na wana ladha kama ya samaki. Sasa toka nimekula imepita nusu saa naombeni uzoefu wenu wadau nasikia huwa inaongeza hamu ya kugegeda ila nina wasiwasi ikibidi nianze kuvaa pampasi huenda nikaanza kuendesha.

Wenye ujuzi na hawa viumbe hasa ndugu zetu wahaya hebu tiririkeni.

Asanteni wakuu.
 
Hujampa ushauri kama inaongeza hamu ya kugegeda au la.
Sijawahi kusikia kuusu kuongeza hamu

Ila nilisikia kuna baadhi zinawavuruga tumbo
Ndio maana nilitamani kufahamu kama alitumia pampas
 
Hiyo ya kuendesha, utaendesha tu kama umeanza kuzisimanga zikiwa tumboni so jiandae.

Kuhusu nguvu za kiume labda kina bishanga wana la kutueleza, ila na mende pia naskia wapo vizuri hasa wa wabichi.
 
Hawa wadudu watamu sana. Karibu usukumani tunakula kumbikumbi na panzi
 
Back
Top Bottom