Leo nimekubali kweli maishani hatulingani

Mkuu,weka jambo hili kichwani mwako...,kuna watu wamezaliwa magari,fedha na majumba wamevikuta,na kuna watu wamezaliwa hawakuvikuta so,think twice brother!
 
Af hizo gari siku hizi za kawaida sana,, huko bongo ndio zinaonekana ziko juu,, kuna magari mengi mno mazuri, sema hujakutana nayo tu
 
Acha kujipa stress rizika na ulichonacho huyo unayemwona kwenye Hammer nae anatamani awe na private jet ila hawei kuipata na mwenye private jet nae anatamani awe na kisiwa chake cha peke yake ila hawezi.
umesema kweli kabisa yan binadam sijui kwa nini haturidhiki na tulivyonavyo!!!? Mwisho wa siku kujipa presha za bure tu, na uwezo wa kupata hivyo vitu haupo au muda wake haujafika. Kutamani sio dhambi ila isipite kiasi! Waweza kupotezea tu ila ukapanga mikakati yako ya jinsi ya kupata kwa wakati muafaka.
 
Miaka ya nyuma kidogo nshawahi kwenda sehemu flani ya starehe na kistarlet nkakipack nkazama ndani kula mema ya nchi,imefika mida ya kusepa natoka nje na mwanangu kufika parking nakuta kimkebe kimewekwa mtu kati upande wa kulia kuna Mercedes G wagon,kushoto porshe cayyene,nkapata ghadhabu iliyochanganyika na wivu (wamaendeleo),ila nkasema balida tu wote tunafika tunakokwenda,na kigari kenyewe nkajaga kukiuzilia mbali
 
Ipo haja ya kufundisha namna bora ya kupiga picha!!
Kwa upigaji huo wa picha utasababisha watu wavunjike shingo.

Au ndio kuchanganyikiwa kwenyewe...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom