green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,304
- 35,850
- Thread starter
- #121
Ndio ile msuli tembo matokeo sunguraKuna mwanangu mmoja yupo huko cape town anakwambia mijamaa ina miili mikubwa ila akili visoda
Ndio ile msuli tembo matokeo sunguraKuna mwanangu mmoja yupo huko cape town anakwambia mijamaa ina miili mikubwa ila akili visoda
Miafrika mipuuzi,Zuma anakabiliwa na kesi ya ufisadi tena unaoonekana leo mijinga inaandamana kumteteaMaafrika ni majinga kupindukia
Hawakuwahi kuchelewa kupata uhuru SA imepata uhuru nadhani 1942 ila ulikabidhiwa kwa Makaburu nao soon wakaanzisha Ubaguzi wa Rangindio maana hata walichelewa kupata uhuru
Alafu wanaandamana kwa kuiba hadi mifugo na vyakula vya wenye navyo.Miafrika mipuuzi,Zuma anakabiliwa na kesi ya ufisadi tena unaoonekana leo mijinga inaandamana kumtetea
Ungekuwa wewe ungeandamana kwa sababu ta zuma kufungwa.Hukumu ndiyo chanzo. Wangeweza kumpa kifungo cha nje, haya yote yasingetokea
Tusamehe sana wanyakyusaNilionja ubaguzi enzi za utoto,tulienda Mbeya miaka hiyo maana baba katoka huko,basi bibi akawaambia waende mi nibaki,alinipenda sana RIP..
Ile kubaki chamoto
"Ali njhanga ujho gwhee"basi hilo neno ilikua kila nnakopita naliskia mpirani napigwa rafu live akiulizwa anasema hivyo,njiani,shule kila mahali.
Baba mweusi haswa,mama mweupee mi mixer.
Ndo hicho jamaa walininyanyapalia.
Nilijua baadae sana nilikua sielewi kinyaki
Yaani mkuu hata nimewaza hivi hivi. Majamaa yanapenda starehe tu kutafuta mavivuu. Yakiona mgeni kafanikiwa ya Anza kulewa xenophobia. Yasipendi kweliYaani sijawahi ona waafrika wapumbavu kama wa Sauzi tangu wamepata Uhuru toka kwa Makaburu ndio tumejua tabia zao halisi, yani Serikali yao inawalea kama mayai majitu yanaandamana kwa lengo la kufanya uhalifu wizi wa kupora mali za wageni kuua waafrika wenzao wageni.
Kwa tabia nawaunga mkono Makaburu kipindi wanawalamba shaba za matako. Juzi nimeliona jamaa kubwa kabisa brother men kumbe jizi limeiba kreti ya soda limebeba linakimbia aise wanadhalilisha ustaarabu wa mtu mweusi sababu kubwa hawa jamaa hawabebeki kwanza wavivu, hawapendi kazi, walevi na umalaya ndio maana maambukizi ya HIV huko ipo juu sana afu yana roho mbaya.
View attachment 1854746View attachment 1854747View attachment 1854748View attachment 1854749
Sio umkondo ni umkhontho we size (the spear of the nation)Siyo mkuntu ni umkondo we sizwe
Siyo mkuntu ni umkondo we sizwe
Nishasamehe sema tu ile kumbukumbu ipo kikolo,napoenda pale KKK najiskia vizuri sana ila No sio kwa sasa mji wangu umevamiwa,Bibi nimeonana nae 2019mara ya mwisho.Tusamehe sana wanyakyusa
Tatizo sasa hapa, ni kwamba siyo mimi na wala siyo weweUngekuwa wewe ungeandamana kwa sababu ta zuma kufungwa.
Jitu jizi lililodidimiza SA mpaka ikapitwa na Nigeria kiuchumi.
Ngafu...Nishasamehe sema tu ile kumbukumbu ipo kikolo,napoenda pale KKK najiskia vizuri sana ila No sio kwa sasa mji wangu umevamiwa,Bibi nimeonana nae 2019mara ya mwisho.
Mtoto wake wa mwisho kafa Bamdogo wangu na nilikua nae mzima nilipoenda.
Kafa yeye eti kaanguka chooni
Miezi mi3 badae bibi nae kavuta.
Watoto wake wote wamekufa + mumewe babu yangu.
Amekufa Bibi ndo wakavamia watu pale ground wachukue ardhi yote,mi ndo mrithi No 1.
Kilichowapata wanakijua.
Ndo Siri ikatoka,mke wa bamdogo aliyekufa mwisho kaenda kanisani mwenyewe kusema alishiriki kuloga na kuua familia yote ya ukoo wangu ili warithi ardhi.
Dah! Ukimwangalia huwezi kuamini.
Kuna makaburi saba pale mbele, ye kaua alafu ahamie!
Mchungaji kamwombea sana akampa sharti usikanyage pale mbele,wale watu hawajafa wanaishi.we na wanao hiyo ardhi umeachiwa na mmeo ridhika.
Dah
Sijaenda tena Mbeya mpaka leo