Leo nimejiuzuru kuwa mwanaume wa dar bora nikawe matonya dodoma

concordile 101

JF-Expert Member
Oct 13, 2013
1,413
1,763
Kiukweli kwa tukio la leo la kumuuga mshikaji wetu wa soga za kitaa pale krmjee, ni wazi kuwa mwanaume wa dar ni aibu. Mimi nimezoea wanawake tu ndo wanalia kwenye misiba na kufika hatua ya kushikwa na sisi wanaume zetu pale nikusindikiza tu nakuangalia manzi gani mpya tumsalandie. Sasa kwa tukio la reo la yale majibaba kabisa kujilizaliza mpaka kufikia hatua ya kubembelezwa na madada,ni wazi kuwa mwanaume wa dar ni aibu. Nilikuwa najiuliza kwanini hivi visukuma vinatudharau sisi wa dar wakat ndo tuneshikilia uchumi. Kumbe ishu yenyewe ni kuwa hatuna tofauti na visista duu vyetu vya kitaa kimaumbile,kivitendo, kiusoftsoft na hata kwenye misiba badala ya kwenda kuangalia demu gani mpya sisi tunaenda kujiliza tena kwa mtu ambaye miez saba nyuma tulimkosakosa kwa mijeredi.
Kwakweli kuliko niendelee na kudharaulika na wasukuma na waha, bora nikawe matonya dodoma. Naomba wanaume wadodo ambao kwenu kuzika ni asubuhi tu maana jion mnakuwa mshakuwa bwiiiii, hivyo kuzik inakuwa taabu tupu.
Yaan mshikaji wetu hata huko alipo katudharau kinoma maana yeye alikuwa muhaya halisi. Tukana, fyatua ujuavyo ila hakasiriki, yeye chini chini tu. Sasa midume mizima eti ooohh clouds umetuachaa.
Shnzyyyy type.
Nauza vitu vyote kuanzia kitanda,godoro mpaka boxer nisibaki na shombo ya dar, mnaweza niambukiza mipododo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kiukweli kwa tukio la leo la kumuuga mshikaji wetu wa soga za kitaa pale krmjee, ni wazi kuwa mwanaume wa dar ni aibu. Mimi nimezoea wanawake tu ndo wanalia kwenye misiba na kufika hatua ya kushikwa na sisi wanaume zetu pale nikusindikiza tu nakuangalia manzi gani mpya tumsalandie. Sasa kwa tukio la reo la yale majibaba kabisa kujilizaliza mpaka kufikia hatua ya kubembelezwa na madada,ni wazi kuwa mwanaume wa dar ni aibu. Nilikuwa najiuliza kwanini hivi visukuma vinatudharau sisi wa dar wakat ndo tuneshikilia uchumi. Kumbe ishu yenyewe ni kuwa hatuna tofauti na visista duu vyetu vya kitaa kimaumbile,kivitendo, kiusoftsoft na hata kwenye misiba badala ya kwenda kuangalia demu gani mpya sisi tunaenda kujiliza tena kwa mtu ambaye miez saba nyuma tulimkosakosa kwa mijeredi.
Kwakweli kuliko niendelee na kudharaulika na wasukuma na waha, bora nikawe matonya dodoma. Naomba wanaume wadodo ambao kwenu kuzika ni asubuhi tu maana jion mnakuwa mshakuwa bwiiiii, hivyo kuzik inakuwa taabu tupu.
Yaan mshikaji wetu hata huko alipo katudharau kinoma maana yeye alikuwa muhaya halisi. Tukana, fyatua ujuavyo ila hakasiriki, yeye chini chini tu. Sasa midume mizima eti ooohh clouds umetuachaa.
Shnzyyyy type.
Nauza vitu vyote kuanzia kitanda,godoro mpaka boxer nisibaki na shombo ya dar, mnaweza niambukiza mipododo.
Karibu kanda ya ziwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli kwa tukio la leo la kumuuga mshikaji wetu wa soga za kitaa pale krmjee, ni wazi kuwa mwanaume wa dar ni aibu. Mimi nimezoea wanawake tu ndo wanalia kwenye misiba na kufika hatua ya kushikwa na sisi wanaume zetu pale nikusindikiza tu nakuangalia manzi gani mpya tumsalandie. Sasa kwa tukio la reo la yale majibaba kabisa kujilizaliza mpaka kufikia hatua ya kubembelezwa na madada,ni wazi kuwa mwanaume wa dar ni aibu. Nilikuwa najiuliza kwanini hivi visukuma vinatudharau sisi wa dar wakat ndo tuneshikilia uchumi. Kumbe ishu yenyewe ni kuwa hatuna tofauti na visista duu vyetu vya kitaa kimaumbile,kivitendo, kiusoftsoft na hata kwenye misiba badala ya kwenda kuangalia demu gani mpya sisi tunaenda kujiliza tena kwa mtu ambaye miez saba nyuma tulimkosakosa kwa mijeredi.
Kwakweli kuliko niendelee na kudharaulika na wasukuma na waha, bora nikawe matonya dodoma. Naomba wanaume wadodo ambao kwenu kuzika ni asubuhi tu maana jion mnakuwa mshakuwa bwiiiii, hivyo kuzik inakuwa taabu tupu.
Yaan mshikaji wetu hata huko alipo katudharau kinoma maana yeye alikuwa muhaya halisi. Tukana, fyatua ujuavyo ila hakasiriki, yeye chini chini tu. Sasa midume mizima eti ooohh clouds umetuachaa.
Shnzyyyy type.
Nauza vitu vyote kuanzia kitanda,godoro mpaka boxer nisibaki na shombo ya dar, mnaweza niambukiza mipododo.
Cha ajab sasa mkuu,..balinaba ana uchungu zaid ya mtoto wa marehem..

Ndomana nasema,hata sku1 usijemwamin msanii,eitha wa filam au mzik,..maigizo ni meng

Sent using Jamii Forums mobile app
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom