Yakishawakutaga wanajifanya kujutia wakisahau wanaendelea tena hivi viumbe ni shida
Reasoning ya hatari sana hiiNaona kama ni story ya kutunga hii.
Kama ulikuwa na dada yako, very likely asingeweza kukuita, labda kama hukumlipa mlivyokubaliana akataka akuharibie.
Reasoning ya hatari sana hii
BAO machangudoa watakula wapi kama asipofanya hivyo mkuu ??Kama unampenda sana dada yako na kumheshimu basi fanya hivyo kwa wadada wote ikiwa ni pamoja na kutokutembea na machangu
Kwani haiwezekani kuwapa hela bila ya kuwalala?Mbona huwa tunawasaidia ombaomba kiroho safi kabisa bila ya kuwadai malipo?BAO machangudoa watakula wapi kama asipofanya hivyo mkuu ??
Alitulia tu kama hajui ila naona aliamua tu kumezeaDada hakutia neno? Au wewe hukutia neno kwa dada kumkana CD?
Vigumu hiyo mkuu huwa najipanga kwanza ,nina nyumba Za kwenda na usalama wakeSubiri na guest mlipolala wasambaze video yako ukipiga show?
Kwani wanajua hao viumbeNaona kama ni story ya kutunga hii.
Kama ulikuwa na dada yako, very likely asingeweza kukuita, labda kama hukumlipa mlivyokubaliana akataka akuharibie.
Kama no buguruni nahisi no wale Malaya wana bar yao kabisa na lazima wakuite kutangaza biadhara...mzee atakua alijimilikisha...he wife a how...bad mistake
chadema watakuja kupinga hiliWanakujua ni mtu wa dini sana?? Kumbe nyuma ya pazia ni mtu wa machangudoa sana
Kama walivyosambaza ya Gwajiboy aka Rashid?Subiri na guest mlipolala wasambaze video yako ukipiga show?
hahahaaa genuine principleIt wasn’t me, even if caught ready handed