hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Uko vizuri,,, kimeshiba kweli kweli page za kutosha.Mkuu
Habari za siku, mimi ni msomaji mzuri wa vitabu vya historia, saikolojia pamoja na motivation.
Sijawahi kusoma novel, vipi unaweza kunitajia novel moja ambayo itanifanya nihamasike kusoma novel nyingi zaidi?
Vitabu nilivyosoma mpaka sasa
1. The history of money cha Jefferson
2. The wealth of Nation cha Adam Smith
3. The History of Catholic Church (mwandishi simkumbuki)
4. Sapiens: A brief history of man cha yuvai halal Noah)
5. Homo Deus: Brief history of tommorow (nipo nakisoma)
View attachment 1452858
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hicho cha The wealth of nation kinapage zaidi ya elfu moja, hicho cha history of catholic page zaidi ya elfu 2, History of money kina page 250 hivi,Hiki hata Kama kina siri ya kuishi milele sisomii...
khaaaa, sasa hapa utamaliza lini? ukisahau si hasara?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ndio maana umepotea sana JF.Kitabu ulichoanza nacho sio sahihi, kwa kuanza kusoma vitabu kwa mara ya kwanza.
Mimi nina best zangu watatu nimewaambukiza kusoma vitabu, kwa kuwasimamia na kuwapa vitabu kwa mtiririko mzuri. Sasa hv wanapenda sana vitabu.
- Wiki iliyopita nimesoma vitabu vi3 na nimemaliza.
- Kwa siku nasoma vitabu masaa 6 daily
- Kipindi hiki cha corona muda mwingi nipo free zaidi ya masaa 8 kusoma vitabu na nainjoy sana.
- Ukizoea kusoma vitabu, hata kuangalia Tv hupati muda.
Mwanzo mgumu, Hongera kwa kuanza
(welcome to the club)
Kaka nashukuru sanaa, Naahidi kukisoma hiki na nitaleta mrejesho.Mkuu Pantomath , kwanza nikupe hongera kwa kuwa na "desire" na uthubutu wa kusoma vitabu. Hakika hayo uliyopitia ni mwanzo tu, ninaamini utakuwa msomaji mzuri siku za mbeleni. Kitu cha msingi ni kujaribu tena na tena.
Nimekuwekea nakala ya kitabu ambacho ni kizuri kwa wanaoanza kusoma vitabu (beginners). Ninaamini kitakuwa msaada kwako.
Nina mashaka kama mtoa mada atamaliza kusoma hii.
Mimi nimeanza na hiko kiongozi, nimefika karibu nusu yake. Navihitaji pia hivyo vingine.nitafte nkupe vtabu vya Paul coelho uanze na alchemist hutojuta
Mkulima wa mahindi
Mimi nimeanza na hiko kiongozi, nimefika karibu nusu yake. Navihitaji pia hivyo vingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nitakuombea baraka tu, maana hela ngumu usawa huu.u
Una sh ngapi npate hela ya mbolea za mahindi