Mwigulu muogope muumba wako; Hivi unatufanya wana wa Arusha ni vipofu ? Huna uhalali wa kufanya kampeni Arusha ndo maana kampeni zako unaziendesha usiku kama mchawi. By ze way hapa siyo Iramba, Utaambulia aibu na huyo jamaa unaye mdhalilisha majukwaani kwa sababu ya njaa yake.
Kwa Mwigulu usimtaje Muumba, sema SHETANI! si umesikia Mbeya kaanzisha jeshi kwa ajili ya uchaguzi wa Udiwani? Si unaona anavyo mtembeza huyo jamaa majukwaani huku akijuwa kwamba dhambi ya kumwagia Tindikali ameitengeneza mwenyewe kwa kufikiri kwamba atawadanganya waTanganyika!!!
Na jamaa njaa ameamua kuweka kwenye ungo na hivyo kukubali kunadiwa majukwaani kama Kinyago.