MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
Mush talk.
Sorry for getting butt hurted!!
Peace out!!
Crocodile Smile. Ugh.
Mush talk.
Sorry for getting butt hurted!!
Peace out!!
Wana jf nimefanya mikutano mitatu mpaka sasa hakuna hata mkutano mmoja nimepatwa na kelele ya aina yeyote. Anayedhani kuna mkutano nimezomewa aendelee kuamini hivyohivyo, majibu yanakuja tar 16.
Mkuu tafuta washauri wazuri katika maswala yako ya kipolitics... if you can't find i can even for free...
Mkuu hii mikutano ni ile ulikuwa unaandamana na Juliana Shonza? he he he!Wana jf nimefanya mikutano mitatu mpaka sasa hakuna hata mkutano mmoja nimepatwa na kelele ya aina yeyote. Anayedhani kuna mkutano nimezomewa aendelee kuamini hivyohivyo, majibu yanakuja tar 16.