Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Mimi mshamba au sio?We nshambaa nifungulie pm
Mimi mshamba au sio?We nshambaa nifungulie pm
Hii story yako inanikumbusha enzi za utumwa, nikianza kazi kwenye kampuni haina hata parking za magari ya staff nilikuwa napata mashaka sana kwamba hapa ni kambi ya malofa.Leo niliitwa shuleni kwenda kwenye kikao cha mjukuu wangu yupo darasa la Saba anatarajia kufanya mtihani mwaka huu. Nikachukua baskeli yangu na kwenda kwenye kikao shuleni. Nimefika nimechelewa sana ila kuna kitu nikawa najiuliza baada kufika pale nje, mbona hakuna hata gari moja ya mzazi na pikipiki baskeli na waenda kwa miguu.
Hii ilinipa mawazo na kuwaza mambo tofauti hata nilipoingia ndani wazazi tuliopo ni mavazi yetu tu yanakupa jibu sisi wazazi namna gani mungu ibariki Tanzania wabariki na watu wake
Huu ndio ukweli, wengi wetu vipato vya kawaida mno. Hizo shule tunajitutumua tu ili vijana wetu wapate kile tunaamini elimu bora.Watu wengi vipato ni vya kawaida na umaskin wa hali ya juu
Wachache watakuelewa, hiki kitu huwa nabishana sana na wenzangu ofisini! Wanaweza wakafurahi now ila tatizo watoto watakutana nalo huko mbeleni, yanayonikuta mimi sitaki vijana wakutane nayo!Baadaye muwashangae watoto wenu kukosa koneksheni.!
Sio kweli,watu wanatumia bolt na maisha yanaendaNi muhimu sana kuwa na gari hata kama huliendeshi kila siku.
Gari lina umuhimu sana,hasa unapotaka kutoka usiku mfano kama ukiuguliwa au kutoka wakati wa mvua.
Hata uwe na pesa nyingi kiasi gani kama hauna gari wewe ni masikini tu,