HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,361
- 94,539
Tafuta gari, juzi nimekuona.......Sio sifa ndio
Tafuta gari, juzi nimekuona.......Sio sifa ndio
Ajira hakuna...majority ya wa tz ni masikini ..hata wafanyao kazi gharama za maisha haziendani na hali halisi ya maisha iliyopoWatu wengi vipato ni vya kawaida na umaskin wa hali ya juu
Hamna kada inakula vizuri kama walimu wa mjini ndiyo maana wengi wana magari mazuri maana shule unakuta inawanafunzi mpaka 3000 halafu kila siku wanapeleka hela ya mkakati kuanzia 300-500Umekuwa kama mimi siku hizi nikipita shule yoyote ya primary ya serikali nikaona hakuna hata kagari kakuzugia huwa najua walimu wa pale wamepigika kweli kweli na hata hawawezi kuwapa motisha wanafunzi, nachukia mno kuona mapikpik aina ya sanlg yamepakiwa shuleni utadhani bodaboda ndo wamo madarasani wanafundisha
Hivi inakuwaje mtumishi wa serikali anaenda dukan kununua pikpiki yake ya kuendea kazini anachagua sanlg, yaani boxer, tvs, baja, xl, honda huzioni
Ila kuna baadhi ya mashule ya primary ya serikali yapo njema hatari nje unakuta watu wamepaki vyuma hadi unashangaa,ila walimu wa hv sizan kama wanakomaa sana kufundisha
Mwenye kujuwa Ada ya ya shule ya Tanganyika school wenyekujuwa watujuzeNyoosha maelezo Shule gani Au Std 7 ya kayumba? Huko wengi choka mbaya, njoo kikao cha wazazi huku feza school au Tanganyika uone ma VX V8 utafikiri bungeni.
Nikajua Mwendazake aliwafanya mkawa matajiri 😆😆😆😆Leo niliitwa shuleni kwenda kwenye kikao cha mjukuu wangu yupo darasa la Saba anatarajia kufanya mtihani mwaka huu. Nikachukua baskeli yangu na kwenda kwenye kikao shuleni. Nimefika nimechelewa sana ila kuna kitu nikawa najiuliza baada kufika pale nje, mbona hakuna hata gari moja ya mzazi na pikipiki baskeli na waenda kwa miguu.
Hii ilinipa mawazo na kuwaza mambo tofauti hata nilipoingia ndani wazazi tuliopo ni mavazi yetu tu yanakupa jibu sisi wazazi namna gani mungu ibariki Tanzania wabariki na watu wake
Kwani huyu jpm wako hakua na makamu, au cabinet wote walikufa?Tutakukumbuka Daima hayati John Joseph Pombe Magufuli, ungekuwepo baba leo tusingeuziwa mafuta lita 1 sh 7500. Mkojani anaupiga mwingi ulimwenguni sie tunavunja chawa tu mitaani baba.
Ninapaniki kivipi?Umepaniki eeh mjukuu wangu pole sana
Jumamosi na Kikao kikaisha mapema kabla ya saa sita.
Pikipiki baiskeli na waenda miguu>wote ni Gari?
Hilo juu ndio ulitaka leta-mawazo yako- sio uliloliona!
Kama kweli wewe ni Babu namwonea huruma mjuu wako!
Kama kweli wewe ulifika pale na hukuona "baiskeli,gari na waenda miguu" hata baiskeli yako- ulipofuka ghafla!
Kama hayo juu sio kweli, utuambie ulifikaje bila kuona.
Huo umasikini unaotaka kutuaminisha-ningekusii uuze simu yako, uache kulipia intaneti, na baiskeli yako ambayo wewe mwenyewe haukuiona kwenye pakingi uuze. Ununue gari.
Zaidi, ni porojo,kejeli zenye uhasama . Ni dhihaki
Pole Babu.
Leo niliitwa shuleni kwenda kwenye kikao cha mjukuu wangu yupo darasa la Saba anatarajia kufanya mtihani mwaka huu. Nikachukua baskeli yangu na kwenda kwenye kikao shuleni. Nimefika nimechelewa sana ila kuna kitu nikawa najiuliza baada kufika pale nje, mbona hakuna hata gari moja ya mzazi na pikipiki baskeli na waenda kwa miguu.
Hii ilinipa mawazo na kuwaza mambo tofauti hata nilipoingia ndani wazazi tuliopo ni mavazi yetu tu yanakupa jibu sisi wazazi namna gani mungu ibariki Tanzania wabariki na watu wake
Kwa kwel kuna walimu wana maisha mazuri mpaka unajiuliza imewezekanajeHamna kada inakula vizuri kama walimu wa mjini ndiyo maana wengi wana magari mazuri maana shule unakuta inawanafunzi mpaka 3000 halafu kila siku wanapeleka hela ya mkakati kuanzia 300-500
Mwichimbwibwila primary schoolShule gani hiyo?
Wamekuwa wezi sana siku hizi maana usipomlipia mwanao 500 kwa siku watamchukia mpaka aone shule kero mzeeKwa kwel kuna walimu wana maisha mazuri mpaka unajiuliza imewezekanaje
Ninunulie basiTafuta gari, juzi nimekuona.......
Utakuta hayo magari ni ya ma Mrs tuu ila vidume Wana bodaboda alipigiwa simu na mteja wanafunzi wanasubiri.Kweli mkuu kuna mashule ya serikali yamejaa vyuma kwa nje mpaka raha
Omba Sana Mungu usiwe na mawazo kama ya mleta mada.
Kuamini kuwa kumiliki gari ndy kuyapatia maisha.
Mleta mada badilika akili,,
Nilidhani ungeumia zaidi ,,
kwamba wazazi wote mliohidhuria kikao shuleni ni wapangaji.
Hakuna mwenye nyumba hata mmoja.
Au kama anayo basi karithi kutoka kwa wazazi wake..
Utalala juu ya mti?Kwani nyumba ndiyo kuyapatia maisha?
Utalala juu ya mti?
Nyoosha maelezo Shule gani Au Std 7 ya kayumba? Huko wengi choka mbaya, njoo kikao cha wazazi huku feza school au Tanganyika uone ma VX V8 utafikiri bungeni.
Kwenda na gari kwenye kikao ndy umeyapatia maisha?Utaenda na nyumba kwenye kikao?