Kapime sukari.Shida ya wanaume wengi wakiona nguvu wanahisi wana shida kumbe kiwango cha sukari hakipo sawaMimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa Dar es Salaam. Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu, sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi getho.
Lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume. Na hii sio mara ya kwanza ishawahi nitokea kama mara mbili. Pia nishawahi kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.
Nisaidieni wanajamii naaibika mimi
umeuliza swali zuri sana.Ulikuwa umevaa mpira
I like that .. men supporting men... Jerlamarel hawa ndio wanaume sasa. Sio sisi wanawake mara mwanamke mwenzetu anapokua na tatizo akaomba ushauri ndokwanzaaa tunamchamba mpaka anakoma! Safi sana
Tat
Izo lako ni la hisia zaidi, kisaikolojia ..kwakuwa wewe unajijuwa zaidi unaweza kutuambia unahisi labda hili tatizo limeoykana na nini?
unapokuwa mwenyewe kuna wakati unasimama vizuri? inawezekana unakuwa hujiamini ndio inapelekea yote hayo.
kana wkt mwingine inasimama haaitaji dawa ya ku boost unaitaji kujipanga kisaikolojia na kama mdau alivyoshauri hapo mwanzo, andaa muda wa kutosha kukaa nae alafu next visit usije ukawa tena na wasiwasi kuwa itanitokea tena au vipi maana tatizo litarudi.
Huhitaji masters kutoka Oxford University England ili ujue hilo ni tangazo.Akili inaniambiaa hii tangazo
hofu inakupa tabuHata leo baada ya kuamka tu mashine ilisimama na wakati jana nipo na mtoto imegoma kabisa
hofu inakupa tabu
Ofcoz wayahudi wana akili kuliko waarabu walioandika quranKama unaiamini Quran endelea tu kuiamini NI jambo zuri.
Mimi Bado nawaamini wayahudi.
NI kweli ndo maana wanamuita yesu NI mtoto wa zinaa.Ofcoz wayahudi wana akili kuliko waarabu walioandika quran
Hofu inakusumbuwa na pia inawezekana ulitoka na mwanamke ambaye hakuvutii kimapenzi pia..Ndio namimi ninahisi hivyo au hofu,kwasababu asubuhi nikiamka mashine mara nyingi husimama
Akichukua wa kumvutia haswa, atasimamisha lakini atamwaga chini ya dk 1 hahahahahHofu inakusumbuwa na pia inawezekana ulitoka na mwanamke ambaye hakuvutii kimapenzi pia..
Jaribu kuoata mtu wa kukuvutia haswa
Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa Dar es Salaam. Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu, sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi getho.
Lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume. Na hii sio mara ya kwanza ishawahi nitokea kama mara mbili. Pia nishawahi kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.
Nisaidieni wanajamii naaibika mimi
Hospitali walichukua vipimo?walikupa majibu ya vipimo?Mimi ni kijana wa miaka 25 mkazi wa Dar es Salaam. Kwa muda mrefu sijawa katika mahusiano nikiwa na deal tu na mishe zangu, sasa leo nimepata nafasi ya kula tunda la binti mmoja hivi ambaye amekuja hadi getho.
Lahaula uume umekataa kusimama kabisa mpaka anaondoka yaani aibu sana mimi mtoto wa kiume. Na hii sio mara ya kwanza ishawahi nitokea kama mara mbili. Pia nishawahi kwenda hospital (Regency) nikaandikiwa dawa inaitwa Tradafil ila sijaitumia kuogopa kutosimama bila dawa.
Nisaidieni wanajamii naaibika mimi
Atakua mchicha mwibaSasa kumbe rijali kabisa, wasiwasi wa nini hadi kuja kutusumbua na 'sredi'
Halafu kuna uzi uliandika kuwa una admire vijana wa kiume, hebu fafanua zaidi...isije ikawa chanzo ndio hapo unapata stimu baada ya kupigwa pipe😬