Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,029
- 173,693
Tuma basi nadhani diet itakuwa inaendelea vizuri....NTAWEKA PICHA HAPA..ili sikie maoni ya wadau
Tuma basi nadhani diet itakuwa inaendelea vizuri....NTAWEKA PICHA HAPA..ili sikie maoni ya wadau
Hapana huwa mnamigongo mikubwa sana hebu weka kapicha ka mgongo tuoneMie kipotabo haswa
nitawekaHapana huwa mnamigongo mikubwa sana hebu weka kapicha ka mgongo tuone
Je watakuwa na mapenzi ya dhati, je watakuwa waaminifu?... Labda Kama kaweka swala la kuoa pembeni na kaamua kujikita kutafuna wanaushirika Hadi wazuri wote waishe.
Sawa mkuuMapenzi ya dhati ni kwa mama’ke tu.
Kiukweli ukitembea kwa mguu Kutoka KCMC uwe unapandisha juu kule hadi kwenye mashamba ya kahawa pisi unazopishana nazo zinaweza kukusababishia msongo wa mawazo.... Ile barabara Ina pisi kali sana....Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..
-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama mandhari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya Chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
Kabisa Mkuu from 84 to 76... So naendeleza libenekeTuma basi nadhani diet itakuwa inaendelea vizuri
Kweli Mkuu...kulima Sio mchezo..magaga lazima yakupate.Na mnamagaga hatarii
Hamna tofauti na wapare. Natamani nikuone utakavyokua na tumbo kubwa na mgongo kaa shina la mwembe. Mnanifurahisha sana wanyaki ila rohoni mpo wazuri sanaKweli Mkuu...kulima Sio mchezo..magaga lazima yakupate.
Bora kumwamini nguruwe kuliko mtanzaniaAisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..
-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama mandhari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya Chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
Miguu SasaNakazia
"moshi kuna pisi kali"
kweli kabisa..tumbo Kama mcheza sumo..tako flat kabisa....sura ya baba..kinachonitambulisha wakike Ni nyonyo la kilo 10..Hamna tofauti na wapare. Natamani nikuone utakavyokua na tumbo kubwa na mgongo kaa shina la mwembe. Mnanifurahisha sana wanyaki ila rohoni mpo wazuri sana
Atumie tena kwa usahihi. Asije akijikuta anatembelea ringi.Cha kumsihi asisahau "Ndomu" tu
Chuoni wanatoka.mikoa mbali mbali hadi Mtwara na Mara wapoAisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..
-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama mandhari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya Chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
1) Wanyaturu= Singida
2) Wanyamwezi= Tabora
3) wapemba= Pemba
4) Wahaya= Bukoba
5 Wahehe= Iringa
6 Wazigua=Tanga
7 Wambulu= Manyara na Arusha
8 Wasukuma= Mwanza
9 Wazaramu = Dar es-Salaam
Ukitaka kuona PISI KALI nenda hiyo mikoa
Unaelekea uu mkazi wa moshi .Mi nipo Rwanda mkuu, pisi za huku uwezi kufananisha na ivyo vinyago vya Moshi MAZIWA makubwa MIGUU meyembamba wanaenda mbele kama wanarudi nyuma
Kwa kifupi PISI za Moshi ni SHAPELESS
Kwaiyo uwezi kuziweka kwenye kundi la PISI KALI
Mweeee jojwani ughweMasimtank Wakinyaki wanasoma uzi wamekunja sura