miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,709
HAHAHA MKUU UMETISHAmapepe ya kingwendu ngwendulile
HAHAHA MKUU UMETISHAmapepe ya kingwendu ngwendulile
mapepe ya kingwendu ngwendulile
Open the champagne...leave them alive...glamorous!!!GLAMOROUS -FERGIE
Umesahau kutoka kwa g record ya Roy.... Ice cream ya noorahKwa Majani Natoka Na Beat za Nikusaidiaje, Mikasi, Nini Mnataka, Na Nampenda yeye.
Kwa Mika Mwamba.. Ya kwanza Tamala, Babe Gal, Mpenzi ya Dudu Baya, Nakumind ya Temba na Zote za mahadhi ya Barua, Salome au Omba umauti ya Fagio la chuma.
Kwa Mj nakutana na Wauguzi ya Wagosi, Fani katika Maisha ya Mzimuni family chorus ikifanyiwa maafa na Q Chilla, ukitaka nipende au nichukie ya wateule..
Soundcraft, tumerudi tena ya wateule,
Mawingu, jebi wanapagawa, alikufa kwa ngoma,
Nyinginezo... Mawazo ya Jide.... Tangazo ya Bantu Mcz..... Kaa tayari ya Jose Mtambo... Kosa la Marehem ya Uswahilini matola,... Wapo wanotaka ya Danny Msimamo,..... Kighetogheto ya Nature na Mtoto wa geti kali ya Babuu,....
Bado nafuta vumbi mafaili
na mi kama nalipata hilo la cpwaa sema jina limenitokaUmesahau kutoka kwa g record ya Roy.... Ice cream ya noorah
Na zile za park lane.... Aisha aisha na nafasi nyingine zimepikwa nani vile? Halafu kuna crunk moja la cpwaa nimelisahau jina em nikumbushe......
Linaitwa cpwaa...!!!na mi kama nalipata hilo la cpwaa sema jina limenitoka
unaitwa "problem"Kuna mwingine
Cpwaa anaimba"this kind of a girl she can be ma bebi mama"
Ewaaaa!!!unaitwa "problem"
"Huyu manzii mzee, nikimcheki mzee, I –i-i-i-i-I I fall in love again!"
Problem.... Nanaa...fall in love again I......unaitwa "problem"
"Huyu manzii mzee, nikimcheki mzee, I –i-i-i-i-I I fall in love again!"
inakuwaje unapenda nyimbo za wagumu!?Ewaaaa!!!
kuna mstari anasema "still don't love police"still dre
Mi mwenyewe mgumuu!! na ndo wenye mziki mzuriii!!!inakuwaje unapenda nyimbo za wagumu!?
hahaa nilitegemea uweke ray c -upo wapi,nataka niwe na wewe mileleMi mwenyewe mgumuu!! na ndo wenye mziki mzuriii!!!