Edwin Chapa
Member
- Jun 3, 2011
- 54
- 12
Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kuniweka mpka leo hii na kutimiza umri nilioufikia,wapo wengi wao hawajafikia umri wangu,Pili nawashukuru wazazi wangu kwa kunilea,kunisomesha na kufikia hapa nilipofka,mwisho ni kwa ndugu,jamaa na marafiki kwa ukarimu wenu kuwa nami tokea nazaliwa mpka sasa,Nawapenda wote...