Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Leo tr 04/02/2010 ni siku ya Sheria nchini ambapo Mahakama zinaanza rasmi baada ya kuwa kwenye Judicial Vacation tangu tr 15/12/2009 hadi tr 31/01/2010. Mgeni rasmi atakuwa Mh JM Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ujumbe wa mwaka huu ni uboreshaji wa mahakama kama mdau wa maendeleo katika jamii (sina uhakika na exact wording ya ujumbe). Je, una maoni gani kuhusu utendaji kazi wa mahakama zetu? Zifanye nini ili kuboresha utendaji kazi wake?