Leo ni siku ya mwanamke duniani pongezi kwa kina mama...

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,793
5,372
Hongera sana kina mama wenzangu kwa siku hii ..tupendane, tuwapende waume na watoto wetu tuwasaidie yatima na wote wasiojiweza na kuhitaji msaada wetu tuzidishe umoja na mshikamo ,.......
Kina baba tunaomba sana suport kutoka kwenu kwani mwanamke ana haki ya kupendwa na kuthaminiwa ..
Nawatakia sikukuu njema sana
NB; dedication song wanawake na maendeleo by Vicky kamata
FL1
 
Hongereni akina mama na akina dada wote popote mlipo..
 
Hongera sana kina mama wenzangu kwa siku hii ..tupendane, tuwapende waume na watoto wetu tuwasaidie yatima na wote wasiojiweza na kuhitaji msaada wetu tuzidishe umoja na mshikamo ,.......
Kina baba tunaomba sana suport kutoka kwenu kwani mwanamke ana haki ya kupendwa na kuthaminiwa ..
Nawatakia sikukuu njema sana

Kumbe hili ndio lengo la siku ya wanawake duniani.
 
Dedikesheni yangu kwenu ni wimbo wa Thank you mama ulioimbwa kwenye ile filamu ya Sarafina, sijui jina la mwambaji..
 
Hongera sana kina mama wenzangu kwa siku hii ..tupendane, tuwapende waume na watoto wetu tuwasaidie yatima na wote wasiojiweza na kuhitaji msaada wetu tuzidishe umoja na mshikamo ,.......
Kina baba tunaomba sana suport kutoka kwenu kwani mwanamke ana haki ya kupendwa na kuthaminiwa ..
Nawatakia sikukuu njema sana
NB; dedication song wanawake na maendeleo by Vicky kamata
FL1
Hilo hapo kwenye red ndio neno zuri zaidi!

Hivi siku yetu wanaume duniani ni lini? Kina mama tufahmisheni!
 
Hongera sana kina mama wenzangu kwa siku hii ..tupendane, tuwapende waume na watoto wetu tuwasaidie yatima na wote wasiojiweza na kuhitaji msaada wetu tuzidishe umoja na mshikamo ,.......
Kina baba tunaomba sana suport kutoka kwenu kwani mwanamke ana haki ya kupendwa na kuthaminiwa ..
Nawatakia sikukuu njema sana
NB; dedication song wanawake na maendeleo by Vicky kamata
FL1

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=Z26IzfpmPHI"]YouTube- Tanzania - Bongo Flava - Vicky Kamata - Wanawake Maendeleo[/ame]

Haya FL1 dedication hiyooo...Happy Womens day!
 
miaka 15 baada ya beijing!!!anyway wanawake sasa walau wako juu,wanasikika japo si sana!walioko mjengoni hatujaona wamefanya nini mpaka sasa zaidi ya mashindano ya vitenge!!!
 
hongereni sana!hebu TUJIKUMBUSHE KWA KUBONYEZA HAPA

The Following 47 Users Say Thank You to Chrispin For This Useful Post: Remove Your Thanks Akili Kichwani (15th January 2010), BelindaJacob (15th January 2010), bht (15th January 2010), Bigirita (15th January 2010), Bonge (18th January 2010), Bujibuji (15th January 2010), carmel (15th January 2010), Charity (15th January 2010), De Novo (15th January 2010), Edo (18th January 2010), eRRy84 (15th January 2010), Fidel80 (15th January 2010), FirstLady1 (15th January 2010), Geoff (15th January 2010), GP (15th January 2010), Iza (18th January 2010), JS (15th January 2010), Kaitaba (15th January 2010), Katavi (15th January 2010), klorokwini (15th January 2010), Kosmio (19th January 2010), Lady N (15th January 2010), Lekanjobe Kubinika (15th January 2010), Lily Flower (15th January 2010), Lumbe (15th January 2010), MADAI (15th January 2010), Mfamaji (15th January 2010), MjasiriamaliShupavu (15th January 2010), Msindima (18th January 2010), MwanajamiiOne (15th January 2010), Next Level (15th January 2010), Ngongo (15th January 2010), Nguli (15th January 2010), Nyamayao (15th January 2010), nyangoma (18th January 2010), PakaJimmy (16th January 2010), Preta (15th January 2010), Pretty (15th January 2010), Prodigal Son (15th January 2010), Shishi (15th January 2010), SMU (15th January 2010), Soulbrother (15th January 2010), Sugar wa Ukweli (17th January 2010), Sumbalawinyo (15th January 2010), Tshala (15th January 2010), Tumain (15th January 2010), WomanOfSubstance (16th January 2010)!
 
inakuwaje Viki kamata kila anapoenda kuzindua JK na yeye lazima akatumbuize?????? fl1 naomba jibu!!
 
Hilo hapo kwenye red ndio neno zuri zaidi!

Hivi siku yetu wanaume duniani ni lini? Kina mama tufahmisheni!

mkuu siku za (sio ya) wanume ni zote kasoro hii ya leo (8/3) kwa hiyo wanaume wana siku 364 na wanwake wanayo 1!!!!!!!!!!!!!. kwa kweli juhudi zaidi zinahitajika kuleta usawa (kama unawezekana)............

so sad....................
 
mkuu siku za (sio ya) wanume ni zote kasoro hii ya leo (8/3) kwa hiyo wanaume wana siku 364 na wanwake wanayo 1!!!!!!!!!!!!!. kwa kweli juhudi zaidi zinahitajika kuleta usawa (kama unawezekana)............

so sad....................

Hehehe! Nimekusoma kiongozi!

Leo lazima tulale bila kula chakula cha usiku:D:D:D!!
 
Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!
Chrispin
user_invisible.gif
15th January 2010, 09:13 AM
Kuna tukio nililiona jana:
Acheni niwape heshima iliyotukuka wanawake woote;
IMAGINE:

ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!

UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!

UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.

UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!

CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, mtarimbo umesimama, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza (Wengine wana mamitarimbo ya kufa mtu, sasa imagine hujamuandaa: LOL) Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!

UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi! Ulichomuudhi jana kashasahau na kukusamehe!

UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!

Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu!

HIVI INGEKEWA WANAUME TUNAFANYIWA HIVI INGEKUWAJE?

Kwa leo acheni tu niwape heshima zao wanawake wote:

I SALUTE AND LOVE THEM WOMEN!

(NB: Leo niko kimaadili zaidi!)


 
Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!
Chrispin
user_invisible.gif
15th January 2010, 09:13 AM
Kuna tukio nililiona jana:
Acheni niwape heshima iliyotukuka wanawake woote;
IMAGINE:

ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!

UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!

UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.

UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!

CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, mtarimbo umesimama, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza (Wengine wana mamitarimbo ya kufa mtu, sasa imagine hujamuandaa: LOL) Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!

UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi! Ulichomuudhi jana kashasahau na kukusamehe!

UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!

Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu!

HIVI INGEKEWA WANAUME TUNAFANYIWA HIVI INGEKUWAJE?

Kwa leo acheni tu niwape heshima zao wanawake wote:

I SALUTE AND LOVE THEM WOMEN!

(NB: Leo niko kimaadili zaidi!)





Sure, tunatakiwa tuwape heshima ya juu sana wanawake.
Ingawa na wao sometimes huwa wanatuangusha katika moments ambazo hatutegemei kabisa.

Maximum respect kwa wanawake wote.
 
sis waume zenu tunawapa sana haki ila wengi wenu huwa mnajivurugia sana, mnasemana ovyo
mnategemea kila kitu tuanzishe sis
mnasubiri kuteuliwa
nk nk nk


ndo maana wakati miaka 15 toka beijing haki zenu ni za kweny makaratas.

sasa hiv tumesema 50% bungen, basi naomba mkagombee sio kusubiri kuteuliwa
 
Enyi wanawake, yenu siku furahini
Enyi wanawake, daima nawapendeni
Enyi wanawake, familia lindeni
Enyi wanawake, imara simameni
Enyi wanawake, yenu siku furahini

Enyi wanawake, baadhi tabia badilisheni
Enyi wanawake, vipaji tumieni
Enyi wanawake, rasilimali sio ninyi
Enyi wanawake, taifa linawategemeeni
Enyi wanawake, yenu siku furahini

Enyi wanawake, mijini na vijijini
Enyi wanawake, silaha yenu shikamaneni
Enyi wanawake, ulingoni tingisheni
Enyi wanawake, kubaguana wacheni
Enyi wanawake, masumbwi msitupianeni
Enyi wanawake, yenu siku furahini
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom