Leo ni siku ya kupiga vita adhabu ya KIFO

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Kuna baadhi ya wadau hasa watu wa haki za binadamu kama vile LHRC wao wanasema hukumu ya KIFO haina nafasi kwa jamii ya sasa,,,,kwa sababu haizingatii utu wa binadamu,lakin pamoja na hayo kuna baadhi ya wadau wanasema hapana,hukumu au adhabu ya kifo inapaswa kuwa palepale hasa wale wa taasisi za kidini hususan dini ya kiislam,,,,,ikithibitika umeua basi itabidi uuawe maana kutoa roho ni jukumu la ALLAH,je wadau mnaonaje kuhusu hili????maana kwa tanzania watu weeengi wamehukumiwa kifo lakini hawajanyongwa,,,,hii nayo ni adhabu maana huwa wana'athirika kisaikolojia
NAWASILISHA
 
Back
Top Bottom